Yanga watafika Fainali ya Klabu Bingwa Afrika mwaka huu

Yanga watafika Fainali ya Klabu Bingwa Afrika mwaka huu

Kuna uwezekano wengi wenu wakashangazwa na uzi huu kutokana na maneno haya kuwa yanga watafika final ya club bingwa mwaka huu

Lakini Sitaki kuwa mchambuzi saana
Ila nataka mjue
Swala ili lipo kiroho saana mda utaongea

Mwaka jana niliwahi kusema hivi hivi nikatukanwa nikaitwa pumbavu na mjinga wengine utopolo

Ila mwisho wa mwaka wote mliona kilicho tokea
Next season tena naona watu watakavyo kuwa wanasema kuwa timu zote kubwa akili zao zote walikuwa wameweka kwenye afrika super cup ndo wakakutana na timu mbovu mbovu au timu kubwa ambazo zimechoka
SAHIVI WANABEZA BAADAYE WA WATASEMA TUMEPANGIWA TIMU DHAIFU
 
Ndoto za mchana hizi .

Ngoja kaizer chief wachafue sherehe yenu leo kwa kichapo mubashara mjione mlivyo andazi.
 
Naona yanga wameshidwa kuwabakisha wachezaji wake Muhimu mno ndani ya misimu miwili.

Morinho anasema usajili Bora ni kubakisha wachezaji Muhimu kikosini.

1. SAID NTIBAZONKINZA
2. FEISAL SALUM.
3. FISTON MAYELE.
4. JUMA SHABAN.
5. JOYCE LOMALISA.
6. YANIC BANGALA.
7. BENARD MORISON.

Wamepoteza Benchi lote la UFUNDI.
Hata makundi hawafiki.
8. SIMON MSUVA
 
IMG_9520.jpg
 
SAHIVI WANABEZA BAADAYE WA WATASEMA TUMEPANGIWA TIMU DHAIFU
CAFCL anayetoboa ni anauejua sio wabahatishaji, vibonde huwa wanabahatisha wanafika makundi na siku zote hao hao ndio huishia kuwa wa nne kwenye makundi yao
 
Back
Top Bottom