Yanga watafute cb wa maana

Kama kwel wanataka kupambana kimataifa na kufika mbali bas wafanye usajir wa beki wa kati wa maana

Huyu ndugu mwamnyeto mechi ngumu na zenye maamuz haziwez abak kuwa.wa nyumbani tu

N ushauri tu nionavyo mm
Huwezi kumkosoa mtu kwa mechi moja, kwenye mpira hivi vitu hutokea,Liverpool na ukubwa wake alipigwa saba na Aston Villa,still bado Van Dijk na Allison bado waliendelea kuwa bora.
 
Hakuna ata goli Moja lililo sababishwa na Mwanyeto, Mwanyeto alitolewa kutokana na maumivu.
Mwanyeto ndiye Beki Bora kabisa wa kati ambaye Taifa linajivunia. Kilichotokea Kwa Sopu kufunga Hatrik ata Ditram Nchimbi kiliwahi kumtokea na kuifunga Yanga.
 
Jamaa itakua ulivoona Mwamnyeto ametolewa nje ukajua ndo amesababisha magoli.

Mwamnyeto katolewa nje technically na huenda ile kadi ilimfanya acheze kwa pressure ikizingatiwa ni CB.
gaol ka 1....Job, 2.....Djuma, 3.....Kibwana.
Niambie hapo Bakari Mwamnyeto kahusikaje na goal lolote.

Huenda una chuki zako binafsi na Bakari.
 
Kiufupi , hapo hakuna timu ya kucheza mechi za kimataifa labda ufanyike usajili wa Maana.

Tunaenda kushuhudia aibu nyingine kwa taifa muda si mrefu wa timu kupigwa nje ndani na kuondolea hatua ya awali.
Kama aibu iliyoletwa na makolo, uwa nasema akili zenu ni fupi unawezaje kumhukumu mchezaji kwa mechi moja? Kama beki mbovu nyie mmeifunga goli ngapi mlipokutana? Mmehama kumshangilia joji mpole sasa mnatafuta kichaka kingine cha kujipoza, safu mbovu ya ulinzi mpaka ligi inatamatika imeruhusu goli 8, nyie wenye safu bora ya kucheza kimataifa mmeruhusu goli ngapi ebu tuambie? Jaribu kuwa unaficha urofa wako mda mwingine usiwe kituko
 
Rasmi , taifa linaenda kupata aibu kwa mara nyingine tena kwa utopolo kupigwa nje ndani
 
Kiufupi , hapo hakuna timu ya kucheza mechi za kimataifa labda ufanyike usajili wa Maana.

Tunaenda kushuhudia aibu nyingine kwa taifa muda si mrefu wa timu kupigwa nje ndani na kuondolea hatua ya awali.
Kwahio Costal union Leo wamekua kimataifa? msimu huu tumejipigia nje ndani mbona hamkusema hayo?
 
Mwamnyeto ni mzuri kwenye kufanya clear mipira iliyo kufa,..
 
Mwamnyeto kajisahau leo alijua bado yupo coastal kwenye interview akasema

"Yanga walikuwa vizuri na sisi pia tulikuwa vizuri "

Halafu kwenye interview mwamnyeto bado anakigugumizi kujibu maswali ila inaonekana anaipenda sana coastal union.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…