joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Huwezi kumkosoa mtu kwa mechi moja, kwenye mpira hivi vitu hutokea,Liverpool na ukubwa wake alipigwa saba na Aston Villa,still bado Van Dijk na Allison bado waliendelea kuwa bora.Kama kwel wanataka kupambana kimataifa na kufika mbali bas wafanye usajir wa beki wa kati wa maana
Huyu ndugu mwamnyeto mechi ngumu na zenye maamuz haziwez abak kuwa.wa nyumbani tu
N ushauri tu nionavyo mm