Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam wana jamvi.
Baada ya Yanga kulazimika kumpigia magoti Manji baada ya Mzee Akilimali kupingana na pendekezo lake kutaka kuikodi Yanga kama movie za kutazama.
Wana jamvi bila shaka wafatiliaji wa soka mtakuwa mna mfahamu vyema huyu mzee.. Huyu mzee akiwa amenuna au kuchukia timu haiwezi kupata mafanikio maana wadadisi wanasema huyu mzee ndio anajua Yanga ilipo na ndio mwenye Yanga na hata wanachama wa Yanga wanajua huyu ndiye mwenye Yanga.
Hata Yusuphu Manji anajua kabisa Akilimali ndio anajua Yanga ilipo na ilipo wekwa..
Sasa badaada ya Yanga kumsimamisha uanachama na kupendekeza mkutano mkuu umfute uanachama Akilimali ni wazi kabisa kuna siku Yanga watalazimika kumrudisha na kumuomba msamaha mzee Akilimali kama walivyo fanya kwa Yusuphu Manji.
Yanga hawana uwezo wa kusimama bila huyu Mzee hata wao wanajua. Na kumbuka kuna kipindi waligombana nae akasema kuwa watamkubuka na ilikuwa wanaelekea kwenye pambano lao na Simba lakini kilicho wapata Yanga wanajua na walilazimika kumuomba radhi..
Jana Yanga wamemsimamisha mzee Akilimali uanachama leo hii wamepewa zawadi na Azam..
Huyu mzee hana pesa ila anajua Yanga ilipo kwa hiyo hata Manji bila shaka hatokubali mzee huyu afukuzwe maana anajua fika huyu ndio anajua Yanga ilipo..
Hakika Mzee Akilimali anajua Yanga ilipo..
Karibuni wana jamvi.
Baada ya Yanga kulazimika kumpigia magoti Manji baada ya Mzee Akilimali kupingana na pendekezo lake kutaka kuikodi Yanga kama movie za kutazama.
Wana jamvi bila shaka wafatiliaji wa soka mtakuwa mna mfahamu vyema huyu mzee.. Huyu mzee akiwa amenuna au kuchukia timu haiwezi kupata mafanikio maana wadadisi wanasema huyu mzee ndio anajua Yanga ilipo na ndio mwenye Yanga na hata wanachama wa Yanga wanajua huyu ndiye mwenye Yanga.
Hata Yusuphu Manji anajua kabisa Akilimali ndio anajua Yanga ilipo na ilipo wekwa..
Sasa badaada ya Yanga kumsimamisha uanachama na kupendekeza mkutano mkuu umfute uanachama Akilimali ni wazi kabisa kuna siku Yanga watalazimika kumrudisha na kumuomba msamaha mzee Akilimali kama walivyo fanya kwa Yusuphu Manji.
Yanga hawana uwezo wa kusimama bila huyu Mzee hata wao wanajua. Na kumbuka kuna kipindi waligombana nae akasema kuwa watamkubuka na ilikuwa wanaelekea kwenye pambano lao na Simba lakini kilicho wapata Yanga wanajua na walilazimika kumuomba radhi..
Jana Yanga wamemsimamisha mzee Akilimali uanachama leo hii wamepewa zawadi na Azam..
Huyu mzee hana pesa ila anajua Yanga ilipo kwa hiyo hata Manji bila shaka hatokubali mzee huyu afukuzwe maana anajua fika huyu ndio anajua Yanga ilipo..
Hakika Mzee Akilimali anajua Yanga ilipo..
Karibuni wana jamvi.