Yanga watalazimika kumpigia magoti mzee Akilimali? Yanga wanaweza bila mzee Akilimali?

Yanga watalazimika kumpigia magoti mzee Akilimali? Yanga wanaweza bila mzee Akilimali?

karne hii eti wazee hivi OLIMPIC TUTAFIKA KWELI?HIVI LEO UNAMWAMBIA BOLT ILI USHINDE LAZIMA MZEE AWEPO NASEMA HIV AFRICA TUNATATIZO TRUMP HAKUKOSEA SISI BADO SANA
Wewe unajuaje na uhakika gani kuwa Usain Bolt hajafika kwa wazee wa huko mtaani kwake? Haya mambo wewe yaache yaende kama yalivyo.
 
Inasikitisha sana brand name kama Young Africa, bara zima la Africa inatambua timu hii, big name and goodwill lakini waTanzania kwa maelfu wanahojiwa na kuongea upuuzi mwingi mara akilimali, mara manji, nimeamini Tanzania kuna wapumbavu wengi sana na wanastahili vifungo cha maisha. Nikiangalia TV na kusikiliza radio mijitu yote inamlilia manji, hvi kweli club kubwa kama yanga inahitaji upuuzi huo??? Leo hii kila mwanachama wa yanga Tanzania akanunua hisa moja kwa Tsh 500/=, bado mtamnyenyekea mdosi manji????? Watanzania acheni ujinga nyinyi.
Nina kuhakikishia bila suluhu na Akili Mali Yanga mtajuta.

Mzee Akilimali hajaribiwi...
 
Huyo ndo anajua tunguli zote kizee nuksi hichi Yanga hawamwezi huyu mzee,mana ana mizizi adimu..ukisikia Yanga asili ndo huyu anatembea juu ya moto lakini miguu haionyeshi dalili za kuungua
 
....idea yako kwa kuifikiria inaonekana rahisi sana!, ila ipeleke kwenye implementation ndio utaona ugumu wake, siku zote kinachorudisha nyuma hivi vilabu vikubwa ni Uongozi mbovu,viongozi hawana dhamira za dhati kuvisogeza mbele hivi vilabu, zaidi ya kuvigeuza shamba la bibi!

.....patatakiwa pawepo na namna ya kusimamia mapato yatakayopatikana kutokana na mauzo ya hizo hisa,na adhabu kali itolewe kwa kiongozi atakayethibitika kuhujumu mapato hayo, kwa namna yoyote,tukiweza kusimamia hili, hizi timu zitakuwa unstoppable Africa!

...kwasababu sisi wenyewe tumeshindwa kulisimamia hilo,ndio sababu hawa wafanyabiashara wameamua kuja kuwekeza kwenye hizi timu, kwa kuiona fursa iliyopo,binafsi wala siwalaumu,ni haki yao, sababu uwezo wanao na opportunities km hizi ndio kitu mfanyabiashara anakitazama siku zote.

....mpaka tutakapo kuwa tayari ndio tuvirudishe hivi vilabu mikononi mwa wanachama,ni muhimu hawa watu wapewe hizi timu kwa mkataba,km ni miaka mitatu au minne wawe wana renew,siku akili za wanachama zitakapoamka, ndio tuvirudishe mikononi mwetu, kwa kufanya niliyoandika hapo juu.
Safi sana
 
1471475458631.jpg
 
Hivi ikitokea huyu mzee Mungu akamchukua! Hii mada itakuwa na mashiko kweli....
 
7932dcdf2eddc416f7ca788c554ded54.jpg

kuzarau wazee noma kama hawataomba msamahaa na daraja hata washusha
Mimi mshabiki wa Simba lkn huyu Mzee tunamuheshimu sana kuh soka haswa pale mtaani Ndovu...
Mzee Akili Mali ndio alimuingiza Manji na kumpigia kampeni kuwa Mwenyekiti...
Hizo kelele zooote wanazomfanyia watalia wenyewe...
 
Hakuna uhusiano kati ya yanga kupoteza game ya jana na mzee akilimali kusimamishwa,ule ni uzembe wa wachezaji kudharau mechi ya jana
 
Huyo ndo anajua tunguli zote kizee nuksi hichi Yanga hawamwezi huyu mzee,mana ana mizizi adimu..ukisikia Yanga asili ndo huyu anatembea juu ya moto lakini miguu haionyeshi dalili za kuungua
Hahaha Yanga wanatakiwa kujua huyu mzee hajaribiwi!
 
Tuangalie tatizo jingine hasa la kiufundi pamoja na mbinu mbadala uwanjani haya mambo ya Manji au Mzee Akili nyingi hayana nafasi,kiwango alichopiga yanga jana sio kibaya ila alizidiwa mbinu kimpira na mpinzani wake ,Yanga kipindi cha pili walichoka hawakuwa na nidhamu ya mchezo walishamdharau Azam hilo ndio kosa walilolifanya Yanga.
 
Huyo ndo anajua tunguli zote kizee nuksi hichi Yanga hawamwezi huyu mzee,mana ana mizizi adimu..ukisikia Yanga asili ndo huyu anatembea juu ya moto lakini miguu haionyeshi dalili za kuungua
mbona tulifungwa mfululizo na simba huku yy akiwepo?mpira haupo hivyo ndugu
 
Back
Top Bottom