Kuna mashabiki wa hizi timu mbili mnatia aibu.Yanga wanacheza na Simba kule kigoma ili kutafuta bingwa pia atayewakilisha nchi kwa mashindano ya CAF upande wa shirikisho
Kwa hali iliyopo sasa simba ni bingwa kwa ligi na yeye atakuwa mwakilishi klab bingwa ,
Je Yanga ashinde asishinde kule Kigoma atakuwa ni mwakilishi wa shirikisho CAF ? Au kanuni inasemaje
Ila yanga mna bahati tulitaka twende wote klab bingwa mkaonje joto la jua
Naomba nipe ufafanuzi endapoYanga wataenda klabu bongwa sababu nibwashindi wa pili mashindano yote...
Na nani anaenda shirikisho?Yanga wataenda klabu bongwa sababu nibwashindi wa pili mashindano yote...
1. Yanga SC ataenda klabu bingwa kwa kigezo cha nafasi ya pili atakayochukua na sio vinginevyo.Naomba nipe ufafanuzi endapo
1) Yanga akashindwa kubeba FA na pia kashindwa kushika nafasi ya pili kwenye ligi je atashiriki shirikisho CAF kwa vile kashika nafasi ya tatu kwenye ligi ama kwavile kashika nafasi ya pili kwenye FA?
2) je ikiwa Yanga ndio amebeba kombe la FA na pia imeshika nafasi ya pili kwenye ligi kuu ni wazi ataenda klabu bingwa. Je nafasi ya timu mbili za kwenda shirikisho zitachukuliwa kwa kutumie kigezo kipi?
Ataenda Azam & Biashara United kwa sababu ndizo zinazoshika nafasi ya 3 na 4 mtawalia! Pia timu hizo hizo 2 zimefika ½ fainali ya kombe la shirikisho la AzamNaomba nipe ufafanuzi endapo
1) Yanga akashindwa kubeba FA na pia kashindwa kushika nafasi ya pili kwenye ligi je atashiriki shirikisho CAF kwa vile kashika nafasi ya tatu kwenye ligi ama kwavile kashika nafasi ya pili kwenye FA?
2) je ikiwa Yanga ndio amebeba kombe la FA na pia imeshika nafasi ya pili kwenye ligi kuu ni wazi ataenda klabu bingwa. Je nafasi ya timu mbili za kwenda shirikisho zitachukuliwa kwa kutumie kigezo kipi?
Uko sahihi, yanga atashiriki shirikisho kama atakua wa tati ktk ligi. Bingwa wa azam fa ataenda kombe lake kama inavyotakiwa. Mshindi wa pilibligi kuu ataongozana na simba klabu bingwa.Naomba nipe ufafanuzi endapo
1) Yanga akashindwa kubeba FA na pia kashindwa kushika nafasi ya pili kwenye ligi je atashiriki shirikisho CAF kwa vile kashika nafasi ya tatu kwenye ligi ama kwavile kashika nafasi ya pili kwenye FA...
Bingwa wa azam cup ataenda shirikisho, kama simba itabeba ligi na azam cup, mshindi wa pili wa azam cup ataenda shirikisho, endapo tu mshindi huyo hatokua wa pili ktk ligi kuu, mshindi wa pili wa ligi ataenda klabu bingwa...mshindi wa tatu wa ligi kuu ataenda shirikisho.Na nani anaenda shirikisho?
Kwa kifupi ligi kuu inatoa wa kwenda klabu bingwa 2 na azam itatoa 2 wa kwenda shirikisho...vinginevyo kuwe na muongoliano kuwa kuna timu imebeba makombe yote...mshiriki wa shirikisho atakua mshindi wa pili wa azam cup.1. Yanga SC ataenda klabu bingwa kwa kigezo cha nafasi ya pili atakayochukua na sio vinginevyo.
tatizo lake nini,kwani ukimuelewesha unapungukiwa niniKuna mashabiki wa hizi timu mbili mnatia aibu.
Nakumbuka kipindi kile ilivyotokea case kama hiyo ya kuingiza timu nne, walienda Simba kama kinara wa ligi kuuKwa kifupi ligi kuu inatoa wa kwenda klabu bingwa 2 na azam itatoa 2 wa kwenda shirikisho...vinginevyo kuwe na muongoliano kuwa kuna timu imebeba makombe yote...mshiriki wa shirikisho atakua mshindi wa pili wa azam cup.
Kwa kitupi zaidi mpaka sasa kuna uwezekano mkubwa simba na yanga klabu bingwa na azam na mshindi wa nne ktk ligi kwenda shirikisho
Ndio hivyoYanga wanacheza na Simba kule kigoma ili kutafuta bingwa pia atayewakilisha nchi kwa mashindano ya CAF upande wa shirikisho
Kwa hali iliyopo sasa simba ni bingwa kwa ligi na yeye atakuwa mwakilishi klab bingwa ,
Je Yanga ashinde asishinde kule Kigoma atakuwa ni mwakilishi wa shirikisho CAF ? Au kanuni inasemaje
Ila yanga mna bahati tulitaka twende wote klab bingwa mkaonje joto la jua
Mkuu fafanuaMbwembwe za Wana Simba ni hatari,Azam kawabana mapumbu huko songea haswa,arafu kwa mpira ule wanaitaka yanga,mpira hauelezek hujui yanga watakuja vipi na refa siku hiyo atembee na kisu mfukoni.
Mwache tu maana mashabiki wa hizi timu mbili mnajua kila kitu duniani.tatizo lake nini,kwani ukimuelewesha unapungukiwa nini
lakini yeye ameulizaMwache tu maana mashabiki wa hizi timu mbili mnajua kila kitu duniani.
Umepatwa na mhaho hakutakuwa na magoli ya mwamedi kuhongaYanga wanacheza na Simba kule kigoma ili kutafuta bingwa pia atayewakilisha nchi kwa mashindano ya CAF upande wa shirikisho
Kwa hali iliyopo sasa simba ni bingwa kwa ligi na yeye atakuwa mwakilishi klabu bingwa.
Je, Yanga ashinde asishinde kule Kigoma atakuwa ni mwakilishi wa shirikisho CAF? Au kanuni inasemaje
Ila yanga mna bahati tulitaka twende wote klabu bingwa mkaonje joto la jua.