Yanga Watoa Sababu za Winga Mtukutu Morrison kutocheza Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Y
YANGA imeeleza sababu ya winga wake Bernard Morrison 'BM33' kutotumika kwenye mchezo wa kwanza robo fainali Kombe la Shirikisho dhidi ya Rivers United uliopigwa kwenye Uwanja wa Godswill Akpabi nchini Nigeria.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Yanga kupitia kwa Kocha msaidizi Cedric Kaze amefichua kuwa sababu iliyofanya benchi la ufundi kutomtumia winga Morrison kwenye mchezo huo ni kupata majeraha.

Morrison alipata shida kidogo ya msuli kwenye mazoezi ya mwisho hapa Nigeria, kama benchi la ufundi tukaona sio sawa kumlazimisha acheze kwani anaweza kuumia zaidi" amesema Kaze
 
Kwa hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…