Yanga wenzangu, timu hii inayoendeshwa na drama za Hersi, Aziz Ki na Ali Kamwe ndio tuliamini tunaenda kubeba klabu bingwa Africa? Nimechoka sana

Yanga wenzangu, timu hii inayoendeshwa na drama za Hersi, Aziz Ki na Ali Kamwe ndio tuliamini tunaenda kubeba klabu bingwa Africa? Nimechoka sana

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588
Habari za jioni

Ukweli mchungu timu tuliikuza sana mwanzoni mwa msimu.

Ila Yanga sio timu serious kwa heka heka hizi za mchezaji wetu tegemezi + viongozi wa Yanga kupenda kutrend kwa kumuoa slay queen katikati ya msimu.

Beckham mwenyewe akiwa kwenye peak yake man utd 1999 alimuoa victoria wakati wa likizo baada ya msimu kuisha.

Kweli ndio tulitegemea Yanga hii ikashindane na kina Al ahly, Esperence, Orlando pirates, Mamelodi etc huko mbeleni

Asante sana Ibenge na Mc alger wanyonge wenzetu kwa kututoa mapema.

Maana battle za watu wazima wa Africa tungetia aibu huko robo na nusu fainali.

Kama Mamelodi mwenyewe yupo serious huwa haziwezi sisi tungekuwa kituko kabisa
 
Habari za jioni

Ukweli mchungu timu tuliikuza sana mwanzoni mwa msimu.

Ila yanga sio timu serious kwa heka heka hizi za mchezaji wetu tegemezi + viongozi wa yanga kupenda kutrend kwa kumuoa slay queen katikati ya msimu.

Beckham mwenyewe akiwa kwenye peak yake man utd 1999 alimuoa victoria wakati wa likizo baada ya msimu kuisha.

Kweli ndio tulitegemea yanga hii ikashindane na kina Al ahly, esperence, Orlando pirates, Mamelodi etc huko mbeleni


Asante sana Ibenge na Mc alger wanyonge wenzetu kwa kututoa mapema.

Maana battle za watu wazima wa africa tungetia aibu huko rovi na nusu fainali.

Kama mamelodi mwenyewe yupo serious huwa haziwezi sisi tungekuwa kituko kabisa
Pambana na hali yako.
Hao wote uliowataja huwafikii hata theluthi ya maisha yao
 
Mama wa Azizi Ki ameumia sana mwanae Kumuoa Hamisa bila kushirikishwa.

Amesema " hapendi mtu mjanja" yani Hersy
Nguvu yote hiyo inatumiaka kumbakisha mtoto wakae Tanzania

Anasisitiza anasema Engineer si sehemu ya Famia yake hakutakiwa kabisa kufanya Vile.

Inasikitisha sana
Machoni kama watu Mioyoni hawana utu
 
Kwanini Binadamu mna chuki na maisha ya wengine!!! Kuoa si jambo la kheri kwanini upate maumivu kwa jambo la kheri la maisha ya wengine?

Aziz K na Hamisa ni watu wazima na wameamua kufunga ndoa inatakiwa kuwa unga mkono na si kuchukia bila sababu.
 
kwani mtu kuoa limekuwa tatizo? au engineer hakutakiwa kumsapot kijana wake? kwani mkataba ukiisha akiamua kuondoka si anaondoka na king'asti wake, wapo kuna shida
 
Mama wa Azizi Ki ameumia sana mwanae Kumuoa Hamisa bila kushirikishwa.

Amesema " hapendi mtu mjanja" yani Hersy
Nguvu yote hiyo inatumiaka kumbakisha mtoto wakae Tanzania

Anasisitiza anasema Engineer si sehemu ya Famia yake hakutakiwa kabisa kufanya Vile.

Inasikitisha sana
Machoni kama watu Mioyoni hawana utu
Mama huyo ameonea uchungu milioni 30 za mwanae wakati kwao mabinti wanaolewa kwa milioni mbili tu
 
Mama wa Azizi Ki ameumia sana mwanae Kumuoa Hamisa bila kushirikishwa.

Amesema " hapendi mtu mjanja" yani Hersy
Nguvu yote hiyo inatumiaka kumbakisha mtoto wakae Tanzania

Anasisitiza anasema Engineer si sehemu ya Famia yake hakutakiwa kabisa kufanya Vile.

Inasikitisha sana
Machoni kama watu Mioyoni hawana utu
Ndoa ishapita hiyo ...Ukizaa mtoto tambua hata yeye ana akili zake sio kumpangia.
 
Habari za jioni

Ukweli mchungu timu tuliikuza sana mwanzoni mwa msimu.

Ila yanga sio timu serious kwa heka heka hizi za mchezaji wetu tegemezi + viongozi wa yanga kupenda kutrend kwa kumuoa slay queen katikati ya msimu.

Beckham mwenyewe akiwa kwenye peak yake man utd 1999 alimuoa victoria wakati wa likizo baada ya msimu kuisha.

Kweli ndio tulitegemea yanga hii ikashindane na kina Al ahly, esperence, Orlando pirates, Mamelodi etc huko mbeleni


Asante sana Ibenge na Mc alger wanyonge wenzetu kwa kututoa mapema.

Maana battle za watu wazima wa africa tungetia aibu huko rovi na nusu fainali.

Kama mamelodi mwenyewe yupo serious huwa haziwezi sisi tungekuwa kituko kabisa
Herci na GSM wanagombea ubunge, Aziz Ki na hizi airtime wanaotumia kama political stepping stone
 
Labda Kwa azam na Simba ila Tabora tutatumia bahasha na tunashinda.
Tabora, azam hizi siyo kama kmc au kengold hizo zote ni simba damdam, sijui hiyo bahasha itapenya wapi.

Halafu hizi bahasha ndiyo zinawafanya robo fainali cafcl muitazame kwenye tv.
 
Habari za jioni

Ukweli mchungu timu tuliikuza sana mwanzoni mwa msimu.

Ila Yanga sio timu serious kwa heka heka hizi za mchezaji wetu tegemezi + viongozi wa Yanga kupenda kutrend kwa kumuoa slay queen katikati ya msimu.

Beckham mwenyewe akiwa kwenye peak yake man utd 1999 alimuoa victoria wakati wa likizo baada ya msimu kuisha.

Kweli ndio tulitegemea Yanga hii ikashindane na kina Al ahly, Esperence, Orlando pirates, Mamelodi etc huko mbeleni

Asante sana Ibenge na Mc alger wanyonge wenzetu kwa kututoa mapema.

Maana battle za watu wazima wa Africa tungetia aibu huko rovi na nusu fainali.

Kama Mamelodi mwenyewe yupo serious huwa haziwezi sisi tungekuwa kituko kabisa

Kwa hiyo kisa ushabiki wako watu waache kufung ndoa?
 
Habari za jioni

Ukweli mchungu timu tuliikuza sana mwanzoni mwa msimu.

Ila Yanga sio timu serious kwa heka heka hizi za mchezaji wetu tegemezi + viongozi wa Yanga kupenda kutrend kwa kumuoa slay queen katikati ya msimu.

Beckham mwenyewe akiwa kwenye peak yake man utd 1999 alimuoa victoria wakati wa likizo baada ya msimu kuisha.

Kweli ndio tulitegemea Yanga hii ikashindane na kina Al ahly, Esperence, Orlando pirates, Mamelodi etc huko mbeleni

Asante sana Ibenge na Mc alger wanyonge wenzetu kwa kututoa mapema.

Maana battle za watu wazima wa Africa tungetia aibu huko rovi na nusu fainali.

Kama Mamelodi mwenyewe yupo serious huwa haziwezi sisi tungekuwa kituko kabisa
Kutrend kwa myu mwachie time yetu mwananchi hatutegemei mtu,ila timu work.
 
Labda ubunge wa somalia au oman
Atapewa kura na wana yanga unazani sisi simba tutafanya makosa hayo ujioneshe wew upo upande fulan ili uingie uje kutuumiza maybe sio wana simba coz kashaingia kweny chuki za wana simba kuhonga team pinzani na zinginezo apate point ategemee mwana simba ampe kura maybe vilaza ila tunaofikiria nje ya bokisi tunajua akipata atataka kuiumiza simba maana atapata sehem kuwa mpango kazi
 
Back
Top Bottom