Yanga wenzangu, timu hii inayoendeshwa na drama za Hersi, Aziz Ki na Ali Kamwe ndio tuliamini tunaenda kubeba klabu bingwa Africa? Nimechoka sana

Kwaiyo ulitaka akuoe wewe ndio uchukue nafasi ya mobeto? Maisha binafsi ya watu yanawahusu nini? Mbona mnakuwa na akili za kimaskini sana,,wakati wewe unaoa au kuolewa Kuna mtu alikufata kukupangia uoe lini? Kinachokuuma ni kitu Gani labda kwamba mlikuwa mnashea na mobeto kakuzidi kete kaolewa yeye? Hizi akili ni 🚮🚮🚮🚮
 
Sasa Mama anahusika nini kwenye suala la ndoa?
 
Subiri muda wa ubunge ufike ndio mtajua hamjui. Magoma hoyeee!!!!!
 
Hata Simba hajafika mahali
 
Huyo Mama naye atulie. Aziz Ki ni mtu mzima, ana maamuzi yake.
 
Kwa hili nyie utopolo hebu mwacheni kijana mnataka apige punyeto?.
 
Kwanini Binadamu mna chuki na maisha ya wengine!!! Kuoa si jambo la kheri kwanini upate maumivu kwa jambo la kheri la maisha ya wengine?

Aziz K na Hamisa ni watu wazima na wameamua kufunga ndoa inatakiwa kuwa unga mkono na si kuchukia bila sababu.
Unajua mpaka kuna muda nashangaa wallah watu wanaumia nn sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…