Yanga Ya ligi kuu vs Yanga ya kimataifa

Yanga Ya ligi kuu vs Yanga ya kimataifa

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
InShot_20241225_170836586.jpg


Yanga inavyocheza ligi kuu unaiona yanga Bora sana.

Nimara chache wanapata matokeo dhaifu lakini ukweli ni kuwa Yanga ndio wafalme wa ligi kuu kwa misimu ya hivi karibuni.

Tatizo ni pale inapocheza kimataifa hasa msimu huu wa mashindano.

Kulikoni Yanga?
 
View attachment 3184870

Yanga inavyocheza ligi kuu unaiona yanga Bora sana. Nimara chache wanapata matokeo dhaifu lakini ukweli ni kuwa Yanga ndio wafalme wa ligi kuu kwa misimu ya hivi karibuni. Tatizo nipale inapocheza kimataifa hasa msimu huu wa mashindano. Kulikoni yanga
Huu uzi umeandika kama mtu asiyejua mpira.
Ujui kama Yanga kwenye ligi kuu ilikuwa inapata matokeo kwa mbinde sana msimu huu na mwishoni ikaja kufungwa mfululizo kwenye ligi kuu ndipo ikafanya mabadiliko ya benchi la ufundi. Haya unayoona sasa hivi ni kutokana na muda. Laiti kama kocha mpya angekuja mapema pengine hata matokeo ya klabu bingwa yasingekuwa tuliyoyashuhudia
 
View attachment 3184870

Yanga inavyocheza ligi kuu unaiona yanga Bora sana. Nimara chache wanapata matokeo dhaifu lakini ukweli ni kuwa Yanga ndio wafalme wa ligi kuu kwa misimu ya hivi karibuni.

Tatizo ni pale inapocheza kimataifa hasa msimu huu wa mashindano.

Kulikoni yanga?
Usihofu matatizo yaliyoikabili yametatuliwa injinia ameliona Hilo na aendelee kushirikiana na wenzake bila ubaguzi,yanga itafanikiwa sana.
 
Ligi ya ndani hakuna haki ni michongo kimataifa kule hakuna michongo Engineer ataongea na nani kule kwa ajili ya match fixing
 
View attachment 3184870

Yanga inavyocheza ligi kuu unaiona yanga Bora sana.

Nimara chache wanapata matokeo dhaifu lakini ukweli ni kuwa Yanga ndio wafalme wa ligi kuu kwa misimu ya hivi karibuni.

Tatizo ni pale inapocheza kimataifa hasa msimu huu wa mashindano.

Kulikoni Yanga?
Michongo hiyo.
Utacheka siku wakicheza mechi za kimataifa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kilichobadilika ni Upambanaji umeongezekaa na wachezaji wameamua kumove on baada ya Gamondi.Ila Kii anapoteza pass sana ingawa sio mbayaaa kasii inamzidiaa,Dube Badoo magoal yake yotee ni Yale ambayo hata angekuepo mwijaku eneo husika anafungwa.Mzizee ndio Killer sasahivi apewe Heshima yake👑👑💪
 
Kilichobadilika ni Upambanaji umeongezekaa na wachezaji wameamua kumove on baada ya Gamondi.Ila Kii anapoteza pass sana ingawa sio mbayaaa kasii inamzidiaa,Dube Badoo magoal yake yotee ni Yale ambayo hata angekuepo mwijaku eneo husika anafungwa.Mzizee ndio Killer sasahivi apewe Heshima yake[emoji146][emoji146][emoji123]
Aziz Ki sijui kawaje
 
Yanga ndiye Mfalme wa Ligi kuu Tanzania (Mataji 30) na ndiye Mfalme wa soka EA
 
Unaizungumzia Yanga hii hii timu pekee toka Afrika mashariki iliyofika fainali ya CAF.. hebu iheshimu
images%20(7).jpg
 
Yanga kimataifa inapigwa sana...
images%20(6).jpg

Hii ilikua tarehe 24/02/2024
Hata mwaka haujaisha tangu tupindue meza kibabe
 
Back
Top Bottom