Daniel Mwinula
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 302
- 328
Binafsi, pamoja na kuwa ni shabiki wa Yanga, naomba nipongeze uongozi kwa ku-maintain ubora wa timu.
Jaribio la jana, kiukweli lilikuwa ni jaribio KUBWA sana lililokuja MAPEMA sana, lakini bado pamoja na jaribio kuja mapema wakati bado kocha mpya na wachezaji wapya hawajazoeana sana TULIFANIKIWA KULIWEZA.
Kwa mpira ule, binafsi natabiri makubwa sana kwenye ligi yetu.
Jaribio la jana, kiukweli lilikuwa ni jaribio KUBWA sana lililokuja MAPEMA sana, lakini bado pamoja na jaribio kuja mapema wakati bado kocha mpya na wachezaji wapya hawajazoeana sana TULIFANIKIWA KULIWEZA.
Kwa mpira ule, binafsi natabiri makubwa sana kwenye ligi yetu.