Bwege wewe huna kikosi cha kumfunga yanga 4 kwa hawa akina Kagere waliozeeka.. Yanga ni Mwanamume.. Ety 4 thubutu.. Mnapigwa nje ndani mwaka huu na FA hamchukuiUtopolo bhana ushasahau msimu uliopita baada ya kushinda 1-0 mkaja kubugizwa 4-1. Utopolo ni underdog kwa simba, hiyo bahati mlioipata usifikiri kila derby itatokea, jifunzen msimu uliopita.
Ile mechi Simba inasemekana waliwahonga baadhi ya wachezaji wa Yanga hata akina Morrison cheza yao ilionyesha wazi.Utopolo bhana ushasahau msimu uliopita baada ya kushinda 1-0 mkaja kubugizwa 4-1. Utopolo ni underdog kwa simba, hiyo bahati mlioipata usifikiri kila derby itatokea, jifunzen msimu uliopita.
Hv mmemuelewa huyu?Ile mechi Simba inasemekana waliwahonga baadhi ya wachezaji wa Yanga hata akina Morrison cheza yao ilionyesha wazi.
Hii tabia ya kuhonga Simba wanayo sana kwani nakumbuka mwaka 1976 Simba walimuhonga aliyekuwa kipa wa Yanga wakati huo Bernard Madale na kupelekea Yanga kufungwa 6-0 na Simba katika mechi ya klabu bingwa Tanzania.
Kwa timu gani ile isiwezekane kufungwa nne eti mpaka ihongwe? Hata yanga ya sasa kufungwa nne inawezekana tu ni mambo ya mpira hayo. Eti Morrison hakucheza vizuri , kwani juzi Nyoni kacheza vizuri? Je tuseme mmeshinda kwa kuhonga baadhi ya wachezaji wa simba?Ile mechi Simba inasemekana waliwahonga baadhi ya wachezaji wa Yanga hata akina Morrison cheza yao ilionyesha wazi.
Hii tabia ya kuhonga Simba wanayo sana kwani nakumbuka mwaka 1976 Simba walimuhonga aliyekuwa kipa wa Yanga wakati huo Bernard Madale na kupelekea Yanga kufungwa 6-0 na Simba katika mechi ya klabu bingwa Tanzania.
Meza wembe sasa unalia lia nini?Kwa timu gani ile isiwezekane kufungwa nne eti mpaka ihongwe? Hata yanga ya sasa kufungwa nne inawezekana tu ni mambo ya mpira hayo. Eti Morrison hakucheza vizuri , kwani juzi Nyoni kacheza vizuri? Je tuseme mmeshinda kwa kuhonga baadhi ya wachezaji wa simba?
Ile ilikuwa match ya biashara mkuu, kuna wachezaji mamluki wa Yanga walichukua pesa yao mapemaUtopolo bhana ushasahau msimu uliopita baada ya kushinda 1-0 mkaja kubugizwa 4-1. Utopolo ni underdog kwa simba, hiyo bahati mlioipata usifikiri kila derby itatokea, jifunzen msimu uliopita.
Thibitisha.Ile ilikuwa match ya biashara mkuu, kuna wachezaji mamluki wa Yanga walichukua pesa yao mapema
Wapi nimelia?Meza wembe sasa unalia lia nini?
Hiyo droo ya kabati uliipata?Ile kulala lala kisa unagoli moja ndo unaita ushirikiano na kuwa focused? kifupi kipindi cha pili yanga walikuwa wanalinda droo na hata sio ushindi sema bahati tu ilikuwa upande wao simba hakufanikiwa kupata goli, Timu inayojiamini hawezi kuhangaika kupoteza muda kwa ajili ya goli moja labda kuanzia tatu hiv ndo unaweza kupoteza muda
wajinga huwa siongei nao naongeaga na mwalimu waoHiyo droo ya kabati uliipata?
Ndio kawaida yetu kuonga, tuachie timu yetu tajiri MO andelee kutupa furaha.Ile mechi Simba inasemekana waliwahonga baadhi ya wachezaji wa Yanga hata akina Morrison cheza yao ilionyesha wazi.
Hii tabia ya kuhonga Simba wanayo sana kwani nakumbuka mwaka 1976 Simba walimuhonga aliyekuwa kipa wa Yanga wakati huo Bernard Madale na kupelekea Yanga kufungwa 6-0 na Simba katika mechi ya klabu bingwa Tanzania.
Hiyo 4g yenu ya kuhonga wachezaji wa yanga ndo unasemeaUtopolo bhana ushasahau msimu uliopita baada ya kushinda 1-0 mkaja kubugizwa 4-1. Utopolo ni underdog kwa simba, hiyo bahati mlioipata usifikiri kila derby itatokea, jifunzen msimu uliopita.
Majuzi hapa kwa Azam si nyie nyie mmesema mpira ni mbinu, leo kwa Yanga mnaongea niniIle kulala lala kisa unagoli moja ndo unaita ushirikiano na kuwa focused? kifupi kipindi cha pili yanga walikuwa wanalinda droo na hata sio ushindi sema bahati tu ilikuwa upande wao simba hakufanikiwa kupata goli, Timu inayojiamini hawezi kuhangaika kupoteza muda kwa ajili ya goli moja labda kuanzia tatu hiv ndo unaweza kupoteza muda
Anajua kila kitu sema anajitoa tu ufahamuIle ilikuwa match ya biashara mkuu, kuna wachezaji mamluki wa Yanga walichukua pesa yao mapema
ThibitishaHiyo 4g yenu ya kuhonga wachezaji wa yanga ndo unasemea
Nyie bila makando kando hamuiwezi yanga
Mpaka mhonge waamuzi na wachezaji wa yanga ndo mshinde. Au unadhani Bashe kasema uhongoThibitisha