Yanga yaachana na Magoli kipa wake Metacha pamoja na Shikalo

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759

Taarifa rasmi ya Yanga Sc kuachana na magolikipa wake wawili, Metacha Mnata na Farouk Shikhalo. Anayetoa taarifa hii ni Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, Haji Mfikirwa.

Je, nini maoni yako kuhusu uamuzi huu?

Source: Azam Tv
 
Ila chikalo ni mtu mmoja muungwana sana, huyo metacha mwache aendee japo ni golikipa mzuri ndiyo ajue madhara ya kila unachokifanya kwa jamiii
 
Taarifa rasmi ya Yanga Sc kuachana na magolikipa wake wawili, Metacha Mnata na Farouk Shikhalo. Anayetoa taarifa hii ni Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, Haji Mfikirwa.

Je, nini maoni yako kuhusu uamuzi huu?

Source: Azam Tv
Huyo Metacha sitaki hata kumsikia...sare ya 1-1 mechi ya ligi na Simba goli la Onyango huyo Metacha anajua alichofanya...kipigo Cha 4-1 mbele ya Simba Metacha anajua pamoja Jafari na Juma Abdul....sare ya 3-3 na Kagera kipa alikuwa Nani? Sare ya 1-1 na polisi kipa alikuwa Nani?
 
Ila chikalo ni mtu mmoja muungwana sana, huyo metacha mwache aendee japo ni golikipa mzuri ndiyo ajue madhara ya kila unachokifanya kwa jamiii
Sio kwa jamii, sema kwa "wananchi" wengine hatuhusiki kabisa pale.
 
Kila mwaka wanaanza upya.. watajua wenyewe wautopoloni
 
Taarifa rasmi ya Yanga Sc kuachana na magolikipa wake wawili, Metacha Mnata na Farouk Shikhalo. Anayetoa taarifa hii ni Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, Haji Mfikirwa.

Je, nini maoni yako kuhusu uamuzi huu?

Source: Azam Tv
Safi waiza mechi wakwende zao
 
Acheni lawama za kipuuzi, kwani wakati Simba anakufa goli 1 la Morrison kipa Alikuwa Nani?

Wakati Simba inatoka draw ya 2-2 kipa Alikuwa Nani?

Wakati Simba inatoka draw 1-1 na Yanga kipa Alikuwa Nani?

Na wakati Simba inaifunga Yanga kigoma kipa Alikuwa Nani?

Mwacheni dogo aende Kutafuta ridhki sehemu ingine Kwa Amani
 
Wewe hujui Mambo ya ndani ya soka ya TZ na kuhusu Simba na Yanga...baki hivyo hivyo...Metacha Anna umri mdogo na angeweza kuwa mzuri but this is the end of the road...
 
Hahaa na huyo mpya si mda mrefu watamuita duka maana hawachelewi kusema kauza mechi .....Sajilini na mwiko mwingine huko nyuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kiddin
 
visingizio fc kwenye ubora wake
 
Naipenda Yanga, ila hii tabia ya kusajili kikosi kizima kila msimu hua kinanikera, nakunifanya nijiulize nani aliniroga kuipenda hii timu?

Mwaka 2010 nilisha jaribu kuhama, nakuhamia Azam, lakini nakwao ni upuuzi mtupu, yani hamna tofauti ya Azam na Simba B.
Ndio maana hujitokezaga kuishangilia Yanga kwenye mechi na Simba, kinyume na hapo, huwezi ni jua kua mimi ni Shabiki wa Yanga.
Mungu naomba uniondolee adhabu hii, timu kama haina viongozi wanaojua soccer bhana! Aghhh [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
 
Wewe hujui Mambo ya ndani ya soka ya TZ na kuhusu Simba na Yanga...baki hivyo hivyo...Metacha Anna umri mdogo na angeweza kuwa mzuri but this is the end of the road...
Wacha vijilaana uchwara vyako. Wewe ni sehemu ya ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…