Yanga yaachana na Mkurugenzi wa Ufundi, Hans Pluijm

Rogie

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
7,586
Reaction score
6,697
“Nimepewa barua asubuhi hii na yanga juu ya mkataba wangu kuwa umesitishwa, kikubwa walichokisema ni kuwa klabu kwa sasa inakabiliwa na ukata hivyo hawana uwezo wa kuendelea kunilipa.

“Kwa sasa nipo huru kujiunga na klabu yeyote itakayoonyesha nia na mimi basi nitafanya nao kazi” - Hans Van Pluijm


 
Habari Wakuu,

Taarifa ninawafikishia kama nilivyiona kwenye ukurasa wa Twitter wa Maulid Kitenge.


NIKWELI KWA SABABU YEYE NDO AMESABABISHA YANGA IFUNGWE NA SIMBA. LAKINI JUU YA YOTE HUYU BABU ALIKATAA KYONGOZANA NA MASHABIKI KWENDA KUMUANGALIA MANJI WAKATI AKIWA SERO..HII KWA KWELI IMETUUZI SANA HIVYO LAZIMA ATIMULIWE
 
Unadhani watamlipa nini. Club za kibongo kuzishabika sometimes zinahitaj uwe mental kidgo
Si mikataba yote inapovunjwa basi aliyevunja analipa gharama, kuna mingine huvunjika baada ya kufikia makubalino na "mfanyakazi" halipwi chochote au analipwa kidogo kidogo.
 
NIKWELI KWA SABABU YEYE NDO AMESABABISHA YANGA IFUNGWE NA SIMBA. LAKINI JUU YA YOTE HUYU BABU ALIKATAA KYONGOZANA NA MASHABIKI KWENDA KUMUANGALIA MANJI WAKATI AKIWA SERO..HII KWA KWELI IMETUUZI SANA HIVYO LAZIMA ATIMULIWE
Lakini Katibu Mkuu si alienda pamoja na mashabiki wenzetu kaka!! Kulikuwa na ulazima wa Hans kwenda?
 
Maoni yako ni yapi kuelekea mechi za Klabu Bingwa Afrika, tutegemee nini msimu huu?

Kwa kweli timu yetu sio nzuri ,mwaka jana tulikuwa ok ingawa ngazi ya makundi tulichemsha. Mwaka huu hata makundi tukifika itakuwa maajabu mkuu.
 
Kwa kweli timu yetu sio nzuri ,mwaka jana tulikuwa ok ingawa ngazi ya makundi tulichemsha. Mwaka huu hata makundi tukifika itakuwa maajabu mkuu.
Nakubaliana nawe mkuu. Msimu hii tia maji tia maji sana.

Hili la timu kwenda Zambia kwa Gogo lina ukweli?
 
Ishu sio kufungwa na Simba bali wameona mzigo kumlipa maana mlipaji mwwnyewe amelala hospitali
Shida timu zetu hazitaki kujiwekea vitega uchumi.
 
Si mikataba yote inapovunjwa basi aliyevunja analipa gharama, kuna mingine huvunjika baada ya kufikia makubalino na "mfanyakazi" halipwi chochote au analipwa kidogo kidogo.

Hujaelewa point yangu. Hoja yangu n kwamba lazima wamfukuze Pluijm kwa sabab pesa za kumlipa mshahara watatoa wap maana boss wao yupo korokoroni...hii n kwa sabab club hazina investment zozote za kuzifanya zijiendeshe bila kutegemea pochi ya mtu binafsi
 
Shukrani mkuu, nimekuelewa sasa. Kuna wakati nilienda kwenye mechi ya Taifa nikakaa pembeni Saleh Jembe, wakati mechi inaendelea tukaanza kubishana na jamaa mwingine aliyekuwa amekaa pembeni ya Saleh Jembe, nikamuona mtupu tu. Baadae nakuja kuambiwa ni Afisa Masoko wa Yanga. Hilo likanitatiza kidogo, Afisa Masoko huyu anafanya nini Yanga mbona sioni chochote kinachofanywa kuingiza mapato?
 

Hahahah uafisa wake masoko anaufanya akijitokeza mfadhili na mapato yanaingia mfukoni mwake. Ovyo kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…