GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
1. alisababishaje YANGA IFUNGWE ongea kitaalamu
2. soni kosa kama hakutaka kwenda kumsalimia manji selo. kwan mkataba wake unasema kuwa ikiwa manji ataenda selo au ataumwa ni lazima aende na mashabiki kumsalimia?
Ninyi watu wengine hamna akili kabisa ...yaani hoja zenu ni za kiteja kabisa... mkikaa pale nje ya jengo mnatoa maudenda tu mnadhan wote wanawaza kiteja? acheni ujinga huo. sasa mmekuwa alosto mnafukuza tu makocha kwa sabab za kichimba chumvi. pluijm ni kocha mzuri kuliko hilo bonge lwandamina. kweli nawaambia. sasa nyie leteni akili zenu za kiteja tu....
2. soni kosa kama hakutaka kwenda kumsalimia manji selo. kwan mkataba wake unasema kuwa ikiwa manji ataenda selo au ataumwa ni lazima aende na mashabiki kumsalimia?
Ninyi watu wengine hamna akili kabisa ...yaani hoja zenu ni za kiteja kabisa... mkikaa pale nje ya jengo mnatoa maudenda tu mnadhan wote wanawaza kiteja? acheni ujinga huo. sasa mmekuwa alosto mnafukuza tu makocha kwa sabab za kichimba chumvi. pluijm ni kocha mzuri kuliko hilo bonge lwandamina. kweli nawaambia. sasa nyie leteni akili zenu za kiteja tu....
NIKWELI KWA SABABU YEYE NDO AMESABABISHA YANGA IFUNGWE NA SIMBA. LAKINI JUU YA YOTE HUYU BABU ALIKATAA KYONGOZANA NA MASHABIKI KWENDA KUMUANGALIA MANJI WAKATI AKIWA SERO..HII KWA KWELI IMETUUZI SANA HIVYO LAZIMA ATIMULIWE