wapi Akilimali na wenziwe? mbaya wenu Manji ndiyo hivyo tena...sasa ni wakati wenu wa kuonyesha ule msuli wenu mliokuwa mnamtunishia Manji wakati ule!“Nimepewa barua asubuhi hii na yanga juu ya mkataba wangu kuwa umesitishwa, kikubwa walichokisema ni kuwa klabu kwa sasa inakabiliwa na ukata hivyo hawana uwezo wa kuendelea kunilipa.
“Kwa sasa nipo huru kujiunga na klabu yeyote itakayoonyesha nia na mimi basi nitafanya nao kazi” - Hans Van Pluijm
View attachment 476453
Yanga,a.k.a chura mna matatizo sanawapi Akilimali na wenziwe? mbaya wenu Manji ndiyo hivyo tena...sasa ni wakati wenu wa kuonyesha ule msuli wenu mliokuwa mnamtunishia Manji wakati ule!
hahaha....mkuu, uwe na moyo wa huruma japo kidogo bana!Yanga,a.k.a chura mna matatizo sana
Plujim licha ya kupata mafanikio aliongeza viwango binafsi kwa wachezaji kama Simon Msuva,Juma Abdul,Haji MwinyiObren Chirwa,Deus Kaseke,Deo Munishi,Amis Tambwe.Pamoja na kuwa Pluim ni kocha mzuri,bajeti kubwa pale Yanga ilikuwa inambeba. Kila mchezaji anayemtaka anakuja. Wakibattle kugombea mchezaji na Simba,Simba hapindui.
Ila kwa swala la Record Lwandamina yuko Juu zaidi ya Pluim. Yeye Lwandamina kaifikisha Zesco (inamilikiwa na Shilika la umeme Zambia) nusu finali ya klabu bingwa Africa 2016. Wakati babu kaishia makundi ya kombe la shirikisho tena kashika mkia.
Bajeti ya timu izungumzie.Plujim licha ya kupata mafanikio aliongeza viwango binafsi kwa wachezaji kama Simon Msuva,Juma Abdul,Haji MwinyiObren Chirwa,Deus Kaseke,Deo Munishi,Amis Tambwe.
Kuipeleka timu nusu fainali inategemea aliikuta timu kwenye level gani,Plujim ameikuta Yanga ikiwa wasindikizaji kwenye michuano ya kimataifa na kwa misimu 2 tu alishaibadilisha timu naamini msimu huu angeweza kuifikisha Yanga nusu fainali
Mpira sio rahisi kama unavyoandikaBajeti ya timu izungumzie.
Tambwe kaongezewa nini?
Yanga ni Ngoma na Kamusoko.
Timu chini yake msimu huu ilizidiwa 8 points.
Zesco kabla ya Lwandamina ilifika level gani? Kakaa nayo si chini ya 2 years.