Yanga yaachana na Okrah baada ya kuishia kufunga goli 1

Yanga yaachana na Okrah baada ya kuishia kufunga goli 1

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Uongozi wa Yanga umethibitisha Kiungo mshambuliaji raia wa Ghana Augustine Okrah, hatakuwa sehemu ya kikosi chao msimu ujao 2024-2025. Nyota huyo alitua Young Africans Januari 2024 akitokea Bechem United ya Ghana na kuitumikia timu kwa kipindi cha miezi sita akifanikiwa kufunga bao moja tu.


Ila Yanga, baadae tutasikia Okra kaenda FIFA
 
1720085838424.png

 
Uongozi wa Yanga umethibitisha Kiungo mshambuliaji raia wa Ghana Augustine Okrah, hatakuwa sehemu ya kikosi chao msimu ujao 2024-2025. Nyota huyo alitua Young Africans Januari 2024 akitokea Bechem United ya Ghana na kuitumikia timu kwa kipindi cha miezi sita akifanikiwa kufunga bao moja tu.


Ila Yanga, baadae tutasikia Okra kaenda FIFA
Sawa mh mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom