Yanga yaachana na Okrah baada ya kuishia kufunga goli 1

Mkude yule mwanetu, huyu kitakachomponza ni hayo makelele yenu na matusi vinginevyo naye hatuna deni naye.
Kuna wachezaji wanaletwa pale kwa ajili ya kamati ya ufundi tu na sio kwa ajili ya game ndani ya uwanja,,,,,,,hujawahi kusikiaga ishu za kwenye mpira watu wanaingiza timu uwanjani halafu masela wanasema hatukua tunacheza na binadamu, tulikua tunacheza na majini😀😀😀😀,hizi timu kuna wachezaji wanaangaliwagwa nguvu ya nyota zao tu hata akikaa benchi hakuna hasara, anakua resource ya kamati ya ufundi
 
Hizo ni habari za kufikirika lakini hazina nafasi kwenye modern football.
 
Haijawahi kutokea uto imalize mwaka bila kupelekwa FIFA.
 
JF hata kama una stress zinaisha hii inachekesha kwa kweli..
 
Mmhasibu ni dalili kuu ya mashabk wa yanga walioMTAANI
 
Yanga bana wanapenda sana kuzoa zoa Magalasa yaliyochoka, Sasa lile li Mask lake atalivaa nani pale.
 
Okra anawadai lkn club aliyotoka pia inawadai...msimu huu mmelipa madeni yanayotosha kushusha vyuma zaidi ya vinne mabwabwa kweli nyinyi
 
Tuwe tu wakweli. Huu usajili wa Okrah ulikuwa ni wa kukurupuka. Na wasipomalizana naye mapema, lazima klabu itafungiwa. Maana walimsaini kwa pesa nyingi mpaka inashangaza!
Unajua vipengere vyote vya mkataba wake? viweke hapa tuvisome tujue ulikuwa mkataba wa miaka mingapi na thamani yake ni ipi. Ujijeluta alikuwa na mktaba wa miezi sita na sasa imekwisha
 
Unajua vipengere vyote vya mkataba wake? viweke hapa tuvisome tujue ulikuwa mkataba wa miaka mingapi na thamani yake ni ipi. Ujijeluta alikuwa na mktaba wa miezi sita na sasa imekwisha
Kwani mkataba wa miezi 6 haulipwi consideration?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…