hiyo csisawa je kutokumpa mshahara wake kwa wkt na kumzungusha kuhusu pesa zake anazodai nalo unalizungumzajeWaliomuacha ndio wajuao namna gani wataziba pengo lake maana si kana kwamba hawajui uwezo wake. Mpira bila nidhamu wakati mwingine ni usumbufu. Mfano timu ina mechi mchezaji haonekani hatoi sababu mbaya zaidi anazima simu yake unategemea nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hilo lilitokea, kwanin iwe peke yake ndo agome? Wengineo hawajui haki zao?hiyo csisawa je kutokumpa mshahara wake kwa wkt na kumzungusha kuhusu pesa zake anazodai nalo unalizungumzaje
Simba haina mbadala wa Kapombe, msajilini tafadhali. Msitulazimishe tuwe timu munayotaka nyinyi! Sisi tunaanza upya na vijana!Ukweli Juma Abdul ni Beki mzuri wa kulia, krosi zake zimesaidia sana Yanga (assist), ila akija Kwetu atasota benchi, tunae Kapombe
Kuanza upya si ujingaSafi sana,safisha wote tuanze upya.
wengine hawana hata famili na matatizo yanazidiana nibora ugome kuliko kufingisha tumu tafuteni pesa mpira ni pesa co keleleKama hilo lilitokea, kwanin iwe peke yake ndo agome? Wengineo hawajui haki zao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, tunahitaji mabadiliko lakini sio kwa model ya Simba! Simba ni kama wamepata mfadhili mwenye mkataba, lakini hawana business model nzuri! Kimsingi wanapata hasara kubwa kila mwaka tangu waanza! Timu haiwezi jiendesha! How long Mo atavumilia loss! #toamilioni20zetu!wengine hawana hata famili na matatizo yanazidiana nibora ugome kuliko kufingisha tumu tafuteni pesa mpira ni pesa co kelele
Nitashukuru sana kama Simba itamsajili Juma Abdul kumsaidia Kapombe. Pengine inaweza kupunguza hasira zangu kwa kumsajili Mpumbavu Morrison.Truth Matters matterJuma Abdul ndio mchezaji mwenye assist nyingi kuliko mchezaji yoyote pale japo mlikuwa na strikers butu hata mwaka Jana pia aliongoza kwa assist.Juma Abdul Ni beki mzuri Sana na wakisasa anaweza kupanda na kushuka umahiri wake upo kwenye kupiga Sana cross zenye macho( Kumwaga maji) watu Kama ngoma kipindi kile na Tabwe walimfaidi Sana Juma Abdul.Kumuacha Yondani na jafari hapo wapo sahihi cos viwango vyao vimeshuka ila sio kumuacha mtu Kama Juma Abdul ambaye kiwango chake kipo vile vile angalau Yanga wangemtafutia backup au mchezaji zaidi ya Juma abdul ila sizani hili litatokea Yanga wamefanya makosa Sana kumuacha huyu Mwamba.
Mwanzoni sawa. Lakini maoni yangu asajiliwe ili awe mbadala wa Kapombe. Hana muda mwingi uwanjani."Mnyamani" akija Simba atasugua Sana bench, aende hata Ihefu
Ilikuwa mwaka 95. Mohamed Hussein hakuachwa. Yeye na Mkapa walikuwa miongoni mwa wakongwe wachache walio bakizwa kikosini.Kelvin na Juma walishapita muda wao bora. Yondani katusumbua sana msimu miwili iliyopita kuzima simu na utovu mwingine wa nidhamu. Mwishoni alikuwa hana namba kwenye kikosi kile 'kibovu'. Juma Abdul pia alisusa mwaka jana karibu nusu ya msimu! Tulichofanya kuwapa mkataba ilikuwa ni huruma tu lakini wasingekuwa na mchango wowote! Pia wachezaji wakifikia umri huu wanawaza maisha "wanaweza fanya hujuma yeyote " YANGA IMESHAWAHI KUACHA TIMU MZIMA MARA MBILI" Nani anaikumbuka Yanga Yoso? Waliachwa wakina Saidi Mwamba na Mohamedi Hussein! TUACHENI TUJENGE TIMU YETU! Ikiwa tunakosea si ni vizuri kwenu mshinde goli 10?
Truth Matters matterJuma Abdul ndio mchezaji mwenye assist nyingi kuliko mchezaji yoyote pale japo mlikuwa na strikers butu hata mwaka Jana pia aliongoza kwa assist.Juma Abdul Ni beki mzuri Sana na wakisasa anaweza kupanda na kushuka umahiri wake upo kwenye kupiga Sana cross zenye macho( Kumwaga maji) watu Kama ngoma kipindi kile na Tabwe walimfaidi Sana Juma Abdul.Kumuacha Yondani na jafari hapo wapo sahihi cos viwango vyao vimeshuka ila sio kumuacha mtu Kama Juma Abdul ambaye kiwango chake kipo vile vile angalau Yanga wangemtafutia backup au mchezaji zaidi ya Juma abdul ila sizani hili litatokea Yanga wamefanya makosa Sana kumuacha huyu Mwamba.
Hivi huwa mnatumia masaburi kufikiri au? Watu mnaambiwa,wachezaji wamekataa terms za mkataba mpya ,mlitaka iweje,mke anasema hadharani hakutaki wewe utamlazimisha? Hawajakubaliana mnataka viongozi wawalambe makalio ama!Truth Matters matterJuma Abdul ndio mchezaji mwenye assist nyingi kuliko mchezaji yoyote pale japo mlikuwa na strikers butu hata mwaka Jana pia aliongoza kwa assist.Juma Abdul Ni beki mzuri Sana na wakisasa anaweza kupanda na kushuka umahiri wake upo kwenye kupiga Sana cross zenye macho( Kumwaga maji) watu Kama ngoma kipindi kile na Tabwe walimfaidi Sana Juma Abdul.Kumuacha Yondani na jafari hapo wapo sahihi cos viwango vyao vimeshuka ila sio kumuacha mtu Kama Juma Abdul ambaye kiwango chake kipo vile vile angalau Yanga wangemtafutia backup au mchezaji zaidi ya Juma abdul ila sizani hili litatokea Yanga wamefanya makosa Sana kumuacha huyu Mwamba.
Lakini ujue chanzo chake cha kuachwa Yanga ni kutaka fedha, sio kutaka kucheza"Mnyamani" akija Simba atasugua Sana bench, aende hata Ihefu
Nimesema kutaka fedha, sio kudai fedha. Hata Simba angeenda kwa kutaka fedha bila kujali atacheza au la.Fedha ambayo ilikua halali yake??
Wamesajiliwa timu gani?Hivi huwa mnatumia masaburi kufikiri au? Watu mnaambiwa,wachezaji wamekataa terms za mkataba mpya ,mlitaka iweje,mke anasema hadharani hakutaki wewe utamlazimisha? Hawajakubaliana mnataka viongozi wawalambe makalio ama!