Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kangamoko .Mkuu unabishana na kangamoko mtakesha!
Yanga imepata pigo lingine nchini Algeria baada ya wachezaji wake kuchelewa ndege kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Houari Boumediene, jijini Algers.
Wachezaji hao walikuwa wasafiri na ndege ya Uturuki kupitia Istanbul wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Mkwassa walichelewa kufika uwanjani hapo.
Wakati benchi la ufundi na wachezaji wachecha wakiondoka leo, wachezaji waliochwa na ndege wanategemea kuondoka Algeria kesho au keshokutwa. Yanga imeondolewa katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 4-0 na MC Algers katika mchezo wa marudiano uliofanyika nchini Algeria
MC Alger wasikubali, waliachwa na ndege walikuwa wanafanya Nini??Taarifa.
Boniface mkwasa,. Amethibitisha kua club ya yanga inaomba msaada Kwa MC Alger ili iwasaidie sehem ya kulala, kula na usafiri.... Kwa siku NNE huku wachezaji wakirudi Kwa mafungu Tanzania. Wengine watapitia uturuki,wengine Dubai.
Yanga Kwa sasa inakumbwa na tatizo LA kiuchumi Kwa sasa.
Sports extra. By katibu mkuu WA yanga.
Kunywa sumuHawa waandishi uchwara taabu sana, hiyo nayo umeona Habari ya kutuletea hapa, hiyo ni Timu ya mpira lete Habari za uchambuzi kuhusu mechi yao iliyopita, nini kimechangia mafanikio au mapungufu gani yalisababisha, lakini pia linganisha na wenzao kwa nini wamepata mafanikio dhidi ya yanga, na je nini kifanyike ili Timu zetu zifanikiwe zaidi, upuuzi wa kuachwa na ndege unafaida gani kwa hiyo Timu ya mpira? ? Acheni uandishi wa umbea umbea na MATUKIO, hovyo kabisa !!
Tayari , mama ntilieKunywa sumu
Haya mke mwenzaTayari , mama ntilie
Uwiiiiii[emoji28] [emoji28] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Aliyewaponza ni Simon Msuva kwani nasikia huwa akienda kujisaidia haja kubwa huwa anatumia muda mrefu sana msalani hivyo wenzake walikuwa wanamsubiri yeye. Na hapo wakati yeye akiwa huko anajisaidia Hassan Kessy nae tumbo la kuhara likamshika kwakuwa aliparamia chakula cha Kiarabu kumbe kilikuwa na pilipili za kutukuka ndipo wakaamua wawasubiri wote na ndipo Pilot akaona wasimtanie akaliamsha.
Nasikia hata walivyolala jana ni mafungu mafungu na wameamka asubuhi hii kwa ukata waliona unaambiwa zimenunuliwa Chapati tano ( 5 ) tu wagawane wote 15 na watosheke kwani hali ni mbaya na muda huu huu Katibu Mkuu Mkwasa ameenda kuhemea Dagaa na Matembele ili aje amkabidhi Haruna Niyonzima achambue ili Nadir Haroub Cannavaro apike.
Kama vipi Watanzania tupitishe harambee / mchango ili tuwatumie haraka hawa Ndugu zetu kwani nasikia Ndege yao ya kurudi huku ipo tena siku ya Jumatano na kama hawatapewa msaada wowote ule wa haraka kuna hatari Wachezaji wa Yanga mchana baadae wakagawana mitaa ya Algiers na kuanza kuwa akina Matonya / Omba Omba.
Unaleta papuchi hapaHaya mke mwenza
Acha umbea mtoto wa kiume....Yanga imepata pigo lingine nchini Algeria baada ya wachezaji wake kuchelewa ndege kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Houari Boumediene, jijini Algers.
Wachezaji hao walikuwa wasafiri na ndege ya Uturuki kupitia Istanbul wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Mkwassa walichelewa kufika uwanjani hapo.
Wakati benchi la ufundi na wachezaji wachecha wakiondoka leo, wachezaji waliochwa na ndege wanategemea kuondoka Algeria kesho au keshokutwa. Yanga imeondolewa katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 4-0 na MC Algers katika mchezo wa marudiano uliofanyika nchini Algeria
Mwingine huyu kalewa kinywaji aina ya foojii, mkuu jitahid kunywa maji mengi na ukae kivulinHawa waandishi uchwara taabu sana, hiyo nayo umeona Habari ya kutuletea hapa, hiyo ni Timu ya mpira lete Habari za uchambuzi kuhusu mechi yao iliyopita, nini kimechangia mafanikio au mapungufu gani yalisababisha, lakini pia linganisha na wenzao kwa nini wamepata mafanikio dhidi ya yanga, na je nini kifanyike ili Timu zetu zifanikiwe zaidi, upuuzi wa kuachwa na ndege unafaida gani kwa hiyo Timu ya mpira? ? Acheni uandishi wa umbea umbea na MATUKIO, hovyo kabisa !!
Utakuwa shabiki wa 4G YangaHawa waandishi uchwara taabu sana, hiyo nayo umeona Habari ya kutuletea hapa, hiyo ni Timu ya mpira lete Habari za uchambuzi kuhusu mechi yao iliyopita, nini kimechangia mafanikio au mapungufu gani yalisababisha, lakini pia linganisha na wenzao kwa nini wamepata mafanikio dhidi ya yanga, na je nini kifanyike ili Timu zetu zifanikiwe zaidi, upuuzi wa kuachwa na ndege unafaida gani kwa hiyo Timu ya mpira? ? Acheni uandishi wa umbea umbea na MATUKIO, hovyo kabisa !!
walitembea kwa kasi ya 4G😀😀Walitembea kwa mguu kutoka hotelini walikofikia hadi uwanja wa ndege. Kanga ya kuazima kweli haisitiri chura!!