Yanga yaachwa na ndege Algeria

Yanga yaachwa na ndege Algeria

Mkuu unabishana na kangamoko mtakesha!

1c63e8b0e643501770457ccaf983e0a9.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kangamoko .
 
Yanga imepata pigo lingine nchini Algeria baada ya wachezaji wake kuchelewa ndege kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Houari Boumediene, jijini Algers.
Wachezaji hao walikuwa wasafiri na ndege ya Uturuki kupitia Istanbul wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Mkwassa walichelewa kufika uwanjani hapo.
Wakati benchi la ufundi na wachezaji wachecha wakiondoka leo, wachezaji waliochwa na ndege wanategemea kuondoka Algeria kesho au keshokutwa. Yanga imeondolewa katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 4-0 na MC Algers katika mchezo wa marudiano uliofanyika nchini Algeria



Aliyewaponza ni Simon Msuva kwani nasikia huwa akienda kujisaidia haja kubwa huwa anatumia muda mrefu sana msalani hivyo wenzake walikuwa wanamsubiri yeye. Na hapo wakati yeye akiwa huko anajisaidia Hassan Kessy nae tumbo la kuhara likamshika kwakuwa aliparamia chakula cha Kiarabu kumbe kilikuwa na pilipili za kutukuka ndipo wakaamua wawasubiri wote na ndipo Pilot akaona wasimtanie akaliamsha.

Nasikia hata walivyolala jana ni mafungu mafungu na wameamka asubuhi hii kwa ukata waliona unaambiwa zimenunuliwa Chapati tano ( 5 ) tu wagawane wote 15 na watosheke kwani hali ni mbaya na muda huu huu Katibu Mkuu Mkwasa ameenda kuhemea Dagaa na Matembele ili aje amkabidhi Haruna Niyonzima achambue ili Nadir Haroub Cannavaro apike.

Kama vipi Watanzania tupitishe harambee / mchango ili tuwatumie haraka hawa Ndugu zetu kwani nasikia Ndege yao ya kurudi huku ipo tena siku ya Jumatano na kama hawatapewa msaada wowote ule wa haraka kuna hatari Wachezaji wa Yanga mchana baadae wakagawana mitaa ya Algiers na kuanza kuwa akina Matonya / Omba Omba.
 
Taarifa.

Boniface mkwasa,. Amethibitisha kua club ya yanga inaomba msaada Kwa MC Alger ili iwasaidie sehem ya kulala, kula na usafiri.... Kwa siku NNE huku wachezaji wakirudi Kwa mafungu Tanzania. Wengine watapitia uturuki,wengine Dubai.

Yanga Kwa sasa inakumbwa na tatizo LA kiuchumi Kwa sasa.

Sports extra. By katibu mkuu WA yanga.
MC Alger wasikubali, waliachwa na ndege walikuwa wanafanya Nini??
Ushamba tu, walale kwenye mitaro ya maji machafu tu hamna namna!

Au watembee kwa miguu hata kama watafika Dar 2020 sawa!
 
Kipigo kimewachanganya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea 4G wewe???
 
Hawa waandishi uchwara taabu sana, hiyo nayo umeona Habari ya kutuletea hapa, hiyo ni Timu ya mpira lete Habari za uchambuzi kuhusu mechi yao iliyopita, nini kimechangia mafanikio au mapungufu gani yalisababisha, lakini pia linganisha na wenzao kwa nini wamepata mafanikio dhidi ya yanga, na je nini kifanyike ili Timu zetu zifanikiwe zaidi, upuuzi wa kuachwa na ndege unafaida gani kwa hiyo Timu ya mpira? ? Acheni uandishi wa umbea umbea na MATUKIO, hovyo kabisa !!
Kunywa sumu
 
Aliyewaponza ni Simon Msuva kwani nasikia huwa akienda kujisaidia haja kubwa huwa anatumia muda mrefu sana msalani hivyo wenzake walikuwa wanamsubiri yeye. Na hapo wakati yeye akiwa huko anajisaidia Hassan Kessy nae tumbo la kuhara likamshika kwakuwa aliparamia chakula cha Kiarabu kumbe kilikuwa na pilipili za kutukuka ndipo wakaamua wawasubiri wote na ndipo Pilot akaona wasimtanie akaliamsha.

Nasikia hata walivyolala jana ni mafungu mafungu na wameamka asubuhi hii kwa ukata waliona unaambiwa zimenunuliwa Chapati tano ( 5 ) tu wagawane wote 15 na watosheke kwani hali ni mbaya na muda huu huu Katibu Mkuu Mkwasa ameenda kuhemea Dagaa na Matembele ili aje amkabidhi Haruna Niyonzima achambue ili Nadir Haroub Cannavaro apike.

Kama vipi Watanzania tupitishe harambee / mchango ili tuwatumie haraka hawa Ndugu zetu kwani nasikia Ndege yao ya kurudi huku ipo tena siku ya Jumatano na kama hawatapewa msaada wowote ule wa haraka kuna hatari Wachezaji wa Yanga mchana baadae wakagawana mitaa ya Algiers na kuanza kuwa akina Matonya / Omba Omba.
Uwiiiiii[emoji28] [emoji28] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hakika Genta wewe ni mshenzy aisee! Nimecheka mpaka mbavu zikataka kupinda aisee!

Hilo wazo Lako la mwisho siliungi mkono hata kidogo acha wawe matonya tuu, tena wajitahidi kuomba sana ili wapate pesa za kununulia chapati njiani, hela ya kupandishwa ndege hamna watembee kwa miguu hata kama watafika 2030 sawa tuu!
 
Yanga imepata pigo lingine nchini Algeria baada ya wachezaji wake kuchelewa ndege kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Houari Boumediene, jijini Algers.
Wachezaji hao walikuwa wasafiri na ndege ya Uturuki kupitia Istanbul wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Mkwassa walichelewa kufika uwanjani hapo.
Wakati benchi la ufundi na wachezaji wachecha wakiondoka leo, wachezaji waliochwa na ndege wanategemea kuondoka Algeria kesho au keshokutwa. Yanga imeondolewa katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 4-0 na MC Algers katika mchezo wa marudiano uliofanyika nchini Algeria


Acha umbea mtoto wa kiume....
 
Hawa waandishi uchwara taabu sana, hiyo nayo umeona Habari ya kutuletea hapa, hiyo ni Timu ya mpira lete Habari za uchambuzi kuhusu mechi yao iliyopita, nini kimechangia mafanikio au mapungufu gani yalisababisha, lakini pia linganisha na wenzao kwa nini wamepata mafanikio dhidi ya yanga, na je nini kifanyike ili Timu zetu zifanikiwe zaidi, upuuzi wa kuachwa na ndege unafaida gani kwa hiyo Timu ya mpira? ? Acheni uandishi wa umbea umbea na MATUKIO, hovyo kabisa !!
Mwingine huyu kalewa kinywaji aina ya foojii, mkuu jitahid kunywa maji mengi na ukae kivulin
 
Hawa waandishi uchwara taabu sana, hiyo nayo umeona Habari ya kutuletea hapa, hiyo ni Timu ya mpira lete Habari za uchambuzi kuhusu mechi yao iliyopita, nini kimechangia mafanikio au mapungufu gani yalisababisha, lakini pia linganisha na wenzao kwa nini wamepata mafanikio dhidi ya yanga, na je nini kifanyike ili Timu zetu zifanikiwe zaidi, upuuzi wa kuachwa na ndege unafaida gani kwa hiyo Timu ya mpira? ? Acheni uandishi wa umbea umbea na MATUKIO, hovyo kabisa !!
Utakuwa shabiki wa 4G Yanga
 
Walichanganyikiwa wakawa wanzurula tu. Acha waje kwa kwato zao. Shenziiiiii
 
Wasije wakajiroga ...wakazamia! Waalgeria siyo wazuri hata kidogo kwa namna wanavyowashughulikia wahalifu!
 
Mjerumani alitokwa jasho na Wanaume Algeria W/C 2014.sembuse Yanga.
 
Back
Top Bottom