Yanga yaalikwa Malawi Sherehe za Uhuru

Yanga wataendelea kurudisha hizi fadhila hadi wakome. Wachezaji wapo likizo wanapewa notice ya masaa 24 waje kucheza mechi na lazima watii maana fadhila ya ubwabwa bado hawajailipa full. Wenyewe wanachekeleaa.
Umemaanisha nn
 
Kyela Kwa nyuma ukivuka ziwa nyasaπŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Ukipitia ile njia ya Matema ni easy sana kufika

Matema pale kuna vimtumbwi wanavipaki havinaga wenyewe ila changamoto ni ule mti wa kupigia kasia ndio huwa wanaficha.

So unatakiwa utoke na mwiko kabisa unavyotoka home.

Na Yanga kwa falsafa ya kuuacha mwiko nyuma ndio hapo watapofeli.
 
Hii siyo sifa hata hao wachezaji hawajapenda kabisa basi tu mtu katumika msimu mzima mapumziko ni muhimu kwa afya ya mwili na akili...
 
Ukipitia ile njia ya Matema ni easy sana kufika

Matema pale kuna vimtumbwi wanavipaki havinaga wenyewe ila changamoto ni ule mti wa kupigia kasia ndio huwa wanaficha.

So unatakiwa utoke na mwiko kabisa unavyotoka home.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…