A d o l f
Member
- Oct 16, 2018
- 48
- 187
Dar es Salaam Young Africans yaishangaza Afrika baada yakupindua meza kibabe nchini Tunisia katika mchezo wa marudio wa kombe la shirikisho barani Afrika CAF confederation cup baada yakuichapa 1-0 klabu ya Club African.
Yanga ilipata ushindi wake mnamo dakika ya 79 kupitia kiungo mshambuliaji kutoka Burkina Faso Stephen Aziz Ki.
Je, unaiona Yanga ikitoboa hatua ya makundi kwenda robo fainali?
Yanga ilipata ushindi wake mnamo dakika ya 79 kupitia kiungo mshambuliaji kutoka Burkina Faso Stephen Aziz Ki.
Je, unaiona Yanga ikitoboa hatua ya makundi kwenda robo fainali?