Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali ya kike hayoHivi yanga tuna shida ya mshambuaji au beki?
Mshamhuliaji pia mkuu akikosekana mayele pale hakuna mwingineHivi yanga tuna shida ya mshambuaji au beki?
Ndoto za mchana hiziKlabu ya Yanga imefikia makubaliano na Power Dynamos kumsajili mshambualiaji hatari Kennedy Musonda kwa ada ya uhamisho wa Dollar laki moja sawa na shillingi milion 230 na Kennedy anatarajiwa kuwasili nchini wiki ijayo kujiunga na Yanga.
Hivi yanga tuna shida ya mshambuaji au beki?
Na zinaachwa tu kisa zimetoka page ya Kitenge utadhani ni reliable source.Hivi kwa Nini mnakuwaga na kielehele Cha kuleta habari zisizo Rasmi hapa jukwaani. Yaani jf siku hizi Ni Kama kijiwe Cha kahawa
Wanachagizwa na vinyesi kwenye pichuHivi kwa Nini mnakuwaga na kielehele Cha kuleta habari zisizo Rasmi hapa jukwaani. Yaani jf siku hizi Ni Kama kijiwe Cha kahawa
IQ yako iko very low
ww unajifanya smart wakati hata kuandikia hujui!Hivi kwa Nini mnakuwaga na kielehele Cha kuleta habari zisizo Rasmi hapa jukwaani. Yaani jf siku hizi Ni Kama kijiwe Cha kahawa
Wewe unaonaje?Hivi yanga tuna shida ya mshambuaji au beki?
Kama tulivyopigwa kwa okwa na ouataraMshapigwa
Hamna huyo ni wa kigeni atakula pesa ndefu, ishu ipo kwa mudathir, buku jeroAkija ajiandae kulipwa afutatu😂😂😂
Hua una tatizo gani wewe?