ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Hata Vicent Dante naye anadai M45,watakomaje hawa mazulumatiNi aibu sana kwa timu inayojiita ya wananchi kuendesha mambo yake Kitapeli , bado kesi ya Zahera Mwinyi
Wenye Akili ndogo wameamini bila ya chanzo cha Habari
π π π kikosi cha uokoaajiSource ya habari yako?
Anyway tuna kikosi bora for the next four Years
Endelea kuishi kwa mazoea tu ya kukalili vitu.Mbumbumbu fc katika ubora wao.
LIPENI HELA WAJINGA NYIE BADO ZAHERA,DANTE, KESSY ,YONDANI,.MTASAJILI 2024..POLENI MANYANI FCMbumbumbu naona wapo Bize kuzima habari kubwa ya Media Day baada ya lile shindano lao la kujitekenya na kucheka wenyewe kukosa kiki