ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani, FIFA imefikia uamuzi wa Kuifungia Timu ya Yanga baada ya kushindwa kumlipa Hamisi Tambwe malimbikizo ya mshahara na pesa za uhamisho kiasi cha Jumla Tsh Millioni 44.
Na sasa Yanga Haitaweza kufanya usajili kwa muda wa miaka mitatu kuanzia sasa.
Poleni Sana Yanga, Baada Ya Bumbuli Sasa Mnakutana Na Rungu la FIFA poleni.
Na sasa Yanga Haitaweza kufanya usajili kwa muda wa miaka mitatu kuanzia sasa.
Poleni Sana Yanga, Baada Ya Bumbuli Sasa Mnakutana Na Rungu la FIFA poleni.