Yanga yafungiwa na FIFA kufanya usajili kwa misimu 3

Yanga yafungiwa na FIFA kufanya usajili kwa misimu 3

Thubutuuuu
Uwaga sipendi kuargue na mtu anayenilazimisha yakwake tu yawe mema yangu yaonekane si kitu....

Msimu huu ndio tumesajili wachezaji wetu wengi mikataba yao imebaki mwaka mmoja na nusu..... Kwa jinsi timu inavyocheza sasa mpaka ije kupoteza ladha sio kesho wala keshokutwa.

Golini tuna metacha, Farouk na kabwili

Beki kuna Ninja, Makapu, Nondo, lamine, Kibwana, Paul, adeyum, Yassin na Job

Viungo tunao Mukoko, Gift, Feisal, Haruna, De camo, kisinda, kaseke, makame, Sogne, Saido, mahadhi n.k

Washambualiaji tuna waziri jr, sarpong, feston n.k

Narudia tena tuna uhakika wa kucheza for the next three to four years pasi na shaka.
 
Bado sijakupata mkuu, ikiwa yanga wataitekeleza hiyo adhabu kwa kosa walilomfanyia tambwe, tambwe atakuwa amepata nini? Au wasipomlipa watakutana na rungu jingine hadi atakapolipwa?
Swali la Mwisho jibu ni Ndiyo, miongoni mwa Marungu kwa mujibu wa Wakili wa Tambwe ni kulimwa points za ligi mpaka watakapomlipa Tambwe.Kifupi kesi ya Msingi ya madai ya kulipwa iliyo stahili yake haiishii mpaka Tambwe alipwe.Haina mbadala.Hizi za Kufungia kusajili ni Adhabu za onyo au fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizo
 
Uwaga sipendi kuargue na mtu anayenilazimisha yakwake tu yawe mema yangu yaonekane si kitu..
Team zote zilizofungiwa kusajili zilicheza tu pasi na shaka lakini Hazikuwahi kuwa na graph ya kwenda juu baada ya kufungiwa.Ukitaka kujua umuhimu wa kusajili Jiulize team yako ktk Miaka mitano nyuma mfululizo kila dirisha ilifanya nini kuboresha kikosi.

Sasa uboreshaji huo utaukosa kwa madirisha matatu yajayo.Ni changamoto sana.Nisamehe kama nitakuwa kama nakulazimisha nisemayo yaonekane ni mema.Najua hupendi kulazimishwa.
 
Deni lipo PALE PALE.na wamefungiwa kusajili.hyo NI adhabu ya kuchelewa kulipa deni .
Hivi GSM Hana million 41 KWELI?.
Basi hata million 5 za bumbuli ameshindwa kulipa?
Yanga NI furushi lisilobebeka
Bado sijakupata mkuu, ikiwa yanga wataitekeleza hiyo adhabu kwa kosa walilomfanyia tambwe, tambwe atakuwa amepata nini? Au wasipomlipa watakutana na rungu jingine hadi atakapolipwa?
 
Bado sijakupata mkuu, ikiwa yanga wataitekeleza hiyo adhabu kwa kosa walilomfanyia tambwe, tambwe atakuwa amepata nini? Au wasipomlipa watakutana na rungu jingine hadi atakapolipwa?
Yanga wakimlipa Tambwe adhabu haitatekelezwa,hivyo wachague kulipa au washupaze shingo lakini wasisajili kwa misimu mitatu.
 
Team zote zilizofungiwa kusajili zilicheza tu pasi na shaka lakini Hazikuwahi kuwa na graph ya kwenda juu baada ya kufungiwa.Ukitaka kujua umuhimu wa kusajili Jiulize team yako ktk Miaka mitano nyuma mfululizo kila dirisha ilifanya nini kuboresha kikosi.Sasa uboreshaji huo utaukosa kwa madirisha matatu yajayo.Ni changamoto sana.Nisamehe kama nitakuwa kama nakulazimisha nisemayo yaonekane ni mema.Najua hupendi kulazimishwa.
Chelsea waliishawahi kukata rufaa
 
Hii spanner ingepigwa kabla ya hili dirisha dogo la usajili,wangeshuka daraja msimu wa mwisho wa adhabu.
 
Bado sijakupata mkuu, ikiwa yanga wataitekeleza hiyo adhabu kwa kosa walilomfanyia tambwe, tambwe atakuwa amepata nini? Au wasipomlipa watakutana na rungu jingine hadi atakapolipwa?
Hapo watatumikia adhabu na pesa hiyo watalipa!! Hapo tambwe ana faida mbili moja kulipwa pesa , pili kusababisha yanga kufungiwa kusajili
 
Uwaga sipendi kuargue na mtu anayenilazimisha yakwake tu yawe mema yangu yaonekane si kitu....

Msimu huu ndio tumesajili wachezaji wetu wengi mikataba yao imebaki mwaka mmoja na nusu..... Kwa jinsi timu inavyocheza sasa mpaka ije kupoteza ladha sio kesho wala keshokutwa.

Golini tuna metacha, Farouk na kabwili

Beki kuna Ninja, Makapu, Nondo, lamine, Kibwana, Paul, adeyum, Yassin na Job

Viungo tunao Mukoko, Gift, Feisal, Haruna, De camo, kisinda, kaseke, makame, Sogne, Saido, mahadhi n.k

Washambualiaji tuna waziri jr, sarpong, feston n.k

Narudia tena tuna uhakika wa kucheza for the next three to four years pasi na shaka.
Unamtaja na fisto ambaye mkataba wake mwisho wa sita
 
Mkuu hakuna kitu kama hicho, pesa watalipa na adhabu iko palepale, hizo ni kanuni , sheria na taratibu za FIFA
Nimemsikia wakili wa Tambwe..anasema wao wanawasubiri Yanga walipe deni..endapo wasipolipa watazuia kusajili madirisha matatu..Endapo Yanga wakilipa hilo deni wanakuwa wameikwepa hiyo adhabu
 
Team zote zilizofungiwa kusajili zilicheza tu pasi na shaka lakini Hazikuwahi kuwa na graph ya kwenda juu baada ya kufungiwa.Ukitaka kujua umuhimu wa kusajili Jiulize team yako ktk Miaka mitano nyuma mfululizo kila dirisha ilifanya nini kuboresha kikosi.Sasa uboreshaji huo utaukosa kwa madirisha matatu yajayo.Ni changamoto sana.Nisamehe kama nitakuwa kama nakulazimisha nisemayo yaonekane ni mema.Najua hupendi kulazimishwa.
Chelsea walifungiwa na wakafanya vizuri.
Kuna mwaka Yanga imeshika nafasi ya 5 kwenda chini ndani ya hyo miaka Mitano?

Kama Yanga ya kina Talik Sefu ilishika nafasi ya 2.... Basi Yanga hii ina uwezo wa kufanya vzri miaka mitatu ijayo.
 
Back
Top Bottom