Bongo hamna waandishi wa habari Bali Kuna waandishi wa udaku
Nimemsikiliza huyo wakili wa tambwe, anasema "Yanga waliambiwa wamlipe tambwe, Yanga wakaenda CAS kupinga adhabu, Yanga wakashindwa tena, Jana huyo wakili kapewa taarifa kwamba Yanga wamefungiwa kusajli madirisha 3 mpaka pale watakapo lipa kifungo kinaisha, na Kama hawato lipa kabsa basi wanakatwa points na rungu kubwa zaidi"
Sijaona Cha ajabu hapo waandshi kushikiria bango. Maana Yanga SC watalipa tu.
Week iliyopita meneja wa zaman wa Simba SC nae alikuwa na matatzo Kama hayo, ila waandishi hawajashadadia, sijui kwa sababu ni mbongo