Yanga yahamishia mchezo wake na Pyramid CCM Kirumba - Mwanza

Yanga yahamishia mchezo wake na Pyramid CCM Kirumba - Mwanza

Olmost

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
337
Reaction score
441
Screenshot_20191011-190833.jpeg
 
Kulingana na sheria za CAF, na muda uliopo cjui kama litawezekana!
 
Hahahaaa wanataka kutumia ubovu wa uwanja ili kupata matokeo
 
Sisi kama Pyramids, ngazi zetu zinauwezo wa kuwafikia gongowazi huko walipo na kuwachomoa kwa kichapo takatifu...!NguvuPyramid
 
Zahera voice:Tume fungwa goal moya home tunaenda kupata ushind kwao baada ya dakika90 siku ya taree27
 
Bikra lazima ing’olewe hata ubadili Guest!

Alisikika Mlevi mmoja
 
Back
Top Bottom