Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina tija kivipi?Shindano halikua na tija kwa vilabu hasa vinavyojinasibu kuwa na wawekezaji wakubwa.
Ni matakwa ya mdhamini. Tija inapatikana kwa Simba na Yanga kwa kuwa wanapewa fedha na mdhamini wafanye kazi kama hizo.Shindano halikua na tija kwa vilabu hasa vinavyojinasibu kuwa na wawekezaji wakubwa.
Wizi mtupu, kushindana kuibia wananchi wasiofaidi chochote ni wizi kama wizi mwingineShindano halikua na tija kwa vilabu hasa vinavyojinasibu kuwa na wawekezaji wakubwa.
usiwe mjing weweINAJULIKANA...
watu hutoa zaidi rambirambi kuliko gharama za matibabu
starehe gharama matracco weweWizi mtupu, kushindana kuibia wananchi wasiofaidi chochote ni wizi kama wizi mwingine
Sasa mbona una hasira bila sababu?starehe gharama matracco wewe
wewe unavyoshangilia mayele kufunga unafikiri...
Kwani mlishindwa kufanya hivyo?Tushajua .....mwamedi alikuwa anatoa milion 1 kila siku .......bvbra laki 5 kila day
Mara nne back 2 back.Kwahiyo simba amechukua kombe sio?