Yanga yaingia Tunisia na Jeshi la Ushindi

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875

Kila la Kheri Wananchi Bendera ya Taifa Ikapepee Vema, tumaini na shahuku kubwa ya Watanzaniani Ubingwa ni sio makundi na kuhishia roho faunal I sababu mafanikio ya mpira upimwa kwa vikombe πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ.

Tumeshafanya kila kitu ndani ya Nchi deni letu limebakia Africa na sasa ndo wakati sahihi wa kulilipa hili deni kwa watanzania.

#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Nimependa jezi zao zikiwa na jina la mdhamini mpya kwa haya mashindano.



Ushauri kwa mashabiki wa Yanga wakiwa mtaani wasivae jezi zenye nembo wa mdhamini wao wa ligi kuu, wavae kipindi wanakwenda uwanjani kuangalia mechi za ligi kuu.

Pia tImu zingine za Yanga kama timu ya wanawake wasivae jezi zenye nembo ya Sportpesa sababu sio wadhamini wa timu ya wanawake.

Mazoezini waepuke kuvaa jezi zenye nembo za mdhamini,.
 
Mbona nimepita pale ITV muda huu naona bus lao sijui limegonga nini pale
 
Wanasheria wa mitandaoni mpo vizuri
 
Utopolo fc aka vihiyo fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…