Corrupted institution unaziamini kwa Kila kitu.Wewe unajua kuliko CAF?
Auzwe Bakari Nondo.Uwezekano wa kuwa nae msimu ujao... unazidi kushuka
Dada upoo vizurAziz mechi ya Ahly aliwekewa ukuta wa watu wanne wa kumlinda muda wote wa mchezo ndio maana hakufurukuta sana.
Hizi mechi zote za Medeama amekiwasha, hasa hii ya mwisho.
Unasema assist wakati alikosa goli kama sio mpira kwenda nje kidogo ya lango?
Mwanzoni kabisa mwa mchezo pale kwa Mkapa Vs Medeama.
Uza mwamnyeto Labani usijifanye humuoni Kama kaungana na kina kapombe kusaidia wapinzani.Tubadilishane na inonga.... tuwape mwamnyeto
Unaota mchana kweupe.Dirisha dogo huyo anatua Simba na yule sijui anaitwa nani
Hivi katua au ni tetesi kuwa atatua 5imba?Uliwahi kufikiri Fei mtoto anegtua Simba?
Ndio Laban OGNdo nani