Yanga yaingiza wa 3 kikosi Bora Cha wiki CAF Simba 0

Yanga yaingiza wa 3 kikosi Bora Cha wiki CAF Simba 0

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kwa kikosi Bora Cha africa yanga imeingiza wachezaji watatu Kwa east Africa nzima

Musonda

Aziz ki

Yao

Swali: kwani Simba inashiriki CAF champions league.....mbna Haina mchezaji hata mmoja kwenye hii picha ....
Maendeleo hayana Chama [emoji23]
1708864303735.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Acha ubabaishaji we dogo
Kuna mwamba huko mamelod
Kapiga hattrick afu asiwepo
Kwenye kikosi?

Vip kuhusu pacome zuzu?
 
Kwa kikosi Bora Cha africa yanga imeingiza wachezaji watatu Kwa east Africa nzima

Musonda

Aziz ki

Yao

Swali: kwani Simba inashiriki CAF champions league.....mbna Haina mchezaji hata mmoja kwenye hii picha ....
Maendeleo hayana Chama [emoji23]View attachment 2916001

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
kati ya mwaka yanga walishawahi kupata beki la kulia ni awamu hii, YAOYAO, yule dogo anaujua mpira na ni karata nzuri sana kwa Yanga, hao ndio walitakiwa kuwa na mshahara mkubwa kuliko hata hao kina aziz ki. musonda hapo amewekwa tu, sio hatari kihivyo.
 
Back
Top Bottom