Yanga yaingiza wa 3 kikosi Bora Cha wiki CAF Simba 0

Acha ubabaishaji we dogo
Kuna mwamba huko mamelod
Kapiga hattrick afu asiwepo
Kwenye kikosi?

Vip kuhusu pacome zuzu?
 
kati ya mwaka yanga walishawahi kupata beki la kulia ni awamu hii, YAOYAO, yule dogo anaujua mpira na ni karata nzuri sana kwa Yanga, hao ndio walitakiwa kuwa na mshahara mkubwa kuliko hata hao kina aziz ki. musonda hapo amewekwa tu, sio hatari kihivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…