[emoji23][emoji23]Jamiiforums Kwa Sasa Inamuonekano Mzuri Sana Kila Uki-refresh Page Unaona Taarifa Za Mabingwa Dar Young Africans
Ahaa kumbeTimu ya wiki wanachukua mechi zote 8 za makundi 4.
Hawachukui mechi moja tu.
Inawezekana kwenye hizo mechi 7 zilizobaki kuna MWAMBA alikiwasha kuliko yeye .
Lazima tuseme ukweliNenda kaanzishie uzi, maana kila taarifa unaianzishia uzi
Mnataka tufanane? Mbona umekua mpole hivyoSawa...nyie bwabwajeni kuna siku mtalia machozi ya damu...
[emoji23][emoji23]Sijui huwa huna shughuriiiii! Kutwa kucha, unaiwaza Simba tu!
Yanga ni wasomi a wastaarab. Watu wanaofanikiwa kwa mipango huwa hawama kelele. Sio kama wale wanaofanikiwa kwa ngekewa na kubumbaHalafu hata mtaani hakuna mbilinge nilijua zitakua wiki nzima..mbona mmechoka mapema
Yale mabango ya 1-5 mmetoa?Yanga ni wasomi a wastaarab. Watu wanaofanikiwa kwa mipango huwa hawama kelele. Sio kama wale wanaofanikiwa kwa ngekewa na kubumba
"Hiko"ndio mdudu gani? Kwanini mnapenda kuharibu lugha adhimu ya kiswahili?Hiko ni kikosi bora cha wiki cha Futbal planet. Ila kwa tuliangalia mpira tunajua kabisa Pacome ndiye aliyekuwa mwiba kwa warabu.
[emoji23][emoji23] historySewa mashabki wa yanga mnapagawa tulishawai kua kikosi bora mchezaj boraa nyie ndio mnaanza mtafika unajua mgumba akizaaa anawaona walio tangulia awajazaa kama yeye
Mbu Mbu mbu according to rage"Hiko"ndio mdudu gani? Kwanini mnapenda kuharibu lugha adhimu ya kiswahili?
Mwenyewe nimeshangaa mkuu pacome kutokuwepoAziz ki atoke hapo haraka awekwe pacome. Naonaga kama anabahatisha tu amekuwa mtu wa kulaumu wengne na kutaka apewe pasi yeye tu na mara nyng anaharibu move za kushambulia ni rahis kumnyang'anya mpira nadhan hastahili kuvaa ile namba 10 apewe pacome.