OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Yanga hii unaifungajeπ€£π€£π€£π€£π€£Kwa sasa Yanga inarudi kujiandaa na mechi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Copco ya Mwanza katika hatua ya 64 Bora sambamba na kusubiri kuanza kwa ngwe ya pili ya Ligi Kuu ikianza na kiporo dhidi ya Kagera Sugar, mechi zote zikipigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex.
My Take
ππππ
Kuna goli saba ziwangoja mikia,furahini tuKwa sasa Yanga inarudi kujiandaa na mechi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Copco ya Mwanza katika hatua ya 64 Bora sambamba na kusubiri kuanza kwa ngwe ya pili ya Ligi Kuu ikianza na kiporo dhidi ya Kagera Sugar, mechi zote zikipigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex.
My Take
ππππ
Ubingwa wa kihistoria uliojaa mashaka mashaka. Huwezi kuwa Bingwa mara zote hizo halafu mashindano ya kimataifa unagongwa kila siku na kutolewa .Ili uendelee kuwa Mbabe katika Ligi ya Nyumbani hakuna njia ya mkato zaidi ya kutwaa Mataji yote ya Nyumbani na ndilo ambalo Yanga anadumisha na kumpa heshima ya kuwa mabingwa wa Ku Historia
Ni jambo jemaKwa sasa Yanga inarudi kujiandaa na mechi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Copco ya Mwanza katika hatua ya 64 Bora sambamba na kusubiri kuanza kwa ngwe ya pili ya Ligi Kuu ikianza na kiporo dhidi ya Kagera Sugar, mechi zote zikipigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex.
My Take
ππππ
Wewe tenaaa hahahaaYanga hii unaifungajeπ€£π€£π€£π€£π€£
Midomo yote fyatuuuu
Nipo neshno hapa nasubiria kuona mnyama akiungurumaaaaWewe tenaaa hahahaa
Hiyo ndio itaondoa ukweli kuwa umeondolewa kwenye mashindano makuwabwa barani Africa?Kuna goli saba ziwangoja mikia,furahini tu
Itakata kalomoHiyo ndio itaondoa ukweli kuwa umeondolewa kwenye mashindano makuwabwa barani Africa?