Yanga yajiharibia yenyewe kwa kuingiza siasa kwenye SIKU YA MWANANCHI

Yanga yajiharibia yenyewe kwa kuingiza siasa kwenye SIKU YA MWANANCHI

Mchezo wa soka ni miongoni mwa michezo inayokusanya watu wa itikadi tofauti kabisa , mnaweza kuwa na makandokando yenu ya kisiasa lakini mkaja kukutana kwenye soka , kwa kifupi soka ni ya Wanamichezo .

Kitendo cha Yanga kumtangaza Mzee Kinana ambaye ni Kiongozi wa Juu wa CCM Kuwa mgeni rasmi wa siku yao waliyoipachika jina la SIKU YA WANANCHI , si tu kwamba hakikubaliki , Bali kinaleta sintofahamu kwa wale wana yanga ambao si wanaccm .

Mbona viongozi wa serikali ni wengi tu , kwanini aalikwe kiongozi wa ccm , Waalikaji wamelenga nini ?
Wanajikomba tu
 
Hyo timu yao bwashee
Mchezo wa soka ni miongoni mwa michezo inayokusanya watu wa itikadi tofauti kabisa , mnaweza kuwa na makandokando yenu ya kisiasa lakini mkaja kukutana kwenye soka , kwa kifupi soka ni ya Wanamichezo .

Kitendo cha Yanga kumtangaza Mzee Kinana ambaye ni Kiongozi wa Juu wa CCM Kuwa mgeni rasmi wa siku yao waliyoipachika jina la SIKU YA WANANCHI , si tu kwamba hakikubaliki , Bali kinaleta sintofahamu kwa wale wana yanga ambao si wanaccm .

Mbona viongozi wa serikali ni wengi tu , kwanini aalikwe kiongozi wa ccm , Waalikaji wamelenga nini ?
 
Mchezo wa soka ni miongoni mwa michezo inayokusanya watu wa itikadi tofauti kabisa , mnaweza kuwa na makandokando yenu ya kisiasa lakini mkaja kukutana kwenye soka , kwa kifupi soka ni ya Wanamichezo .

Kitendo cha Yanga kumtangaza Mzee Kinana ambaye ni Kiongozi wa Juu wa CCM Kuwa mgeni rasmi wa siku yao waliyoipachika jina la SIKU YA WANANCHI , si tu kwamba hakikubaliki , Bali kinaleta sintofahamu kwa wale wana yanga ambao si wanaccm .

Mbona viongozi wa serikali ni wengi tu , kwanini aalikwe kiongozi wa ccm , Waalikaji wamelenga nini ?
Mchezo wa soka ni miongoni mwa michezo inayokusanya watu wa itikadi tofauti kabisa , mnaweza kuwa na makandokando yenu ya kisiasa lakini mkaja kukutana kwenye soka , kwa kifupi soka ni ya Wanamichezo .

Kitendo cha Yanga kumtangaza Mzee Kinana ambaye ni Kiongozi wa Juu wa CCM Kuwa mgeni rasmi wa siku yao waliyoipachika jina la SIKU YA WANANCHI , si tu kwamba hakikubaliki , Bali kinaleta sintofahamu kwa wale wana yanga ambao si wanaccm .

Mbona viongozi wa serikali ni wengi tu , kwanini aalikwe kiongozi wa ccm , Waalikaji wamelenga nini ?
Ngoja ukome utopolo wote hawana akili
 
Ngoja ukome utopolo wote hawana akili
JamiiForums154622942.jpg
 
Back
Top Bottom