Yanga yakataa kuvaa nembo nyekundu, ni kinyume na Katiba yao

Yanga yakataa kuvaa nembo nyekundu, ni kinyume na Katiba yao

Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake, Fredrick Mwakalebela umesema hautaweza kuvaa jezi yenye nembo nyekundu ambayo ni nembo ya wadhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Vodacom

Mwakalebela amefunguka kwa kusema kuwa hawataweza kuvaa jezi hizo kwani hawana utamaduni wa kuvaa rangi nyekundu ila huvaa rangi ya kijani na njano pamoja na nyeusi

Ameeleza kuwa uwepo wa hali mbaya kiuchumi katika klabu yao isiwe ndio sababu ya kuwafanya wageuke kanuni, taratibu na Katiba ya klabu yao kwani ni jambo ambalo haliwezekani

Aidha, Makamu huyo ameliomba Shirikisho la Soka Nchini (TFF) kupitia Rais wake, Wallace Karia wazungumze na Kampuni ya simu ya Vodacom ili kubadili rangi ya nembo hiyo ndipo wanaweza kuvaa
*******

This is only in Africa

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Ndugu Mwakalabela ametoa taarifa rasmi ya Yanga kukataa kitumia jezi yenye nembo nyekundu ya mdhamini.

Awali Yanga walionyesha kutokuwa tayari kuvaa jezi yenye nembo nyekundu toka kwa kampuni ya Vodacom ambaye ni mdhamini mkuu wa VPL

Mwaka amesema Yanga iko kwenye hali mbaya kifedha lakini hawako tayari kwenda kinyume na katiba.
Mi naomba kueleweshwa; hivi jezi ni nyekundu au nembo ndo nyekundu?
Naomba kuwaelewesha Yanga kwamba nembo ya mdhamini siyo sehemu ya jezi.
Timu inapotambulisha jezi zake kinachioneshwa ni rangi za timu na nembo ya timu hivyo kinachobandikwa baada ya hapo ni matangazo tu na siyo sehemu ya jezi.
 
Mi naomba kueleweshwa; hivi jezi ni nyekundu au nembo ndo nyekundu?
Naomba kuwaelewesha Yanga kwamba nembo ya mdhamini siyo sehemu ya jezi.
Timu inapotambulisha jezi zake kinachioneshwa ni rangi za timu na nembo ya timu hivyo kinachobandikwa baada ya hapo ni matangazo tu na siyo sehemu ya jezi.
Tunahitaji ushahidi gani kujua kama uongozi mzima wa Yanga hawatumii akili
 
Bora tukacheze ndondo lakini sio kuvaa nyekundu sawa na muislam bora ufe njaa kuliko kula kitimoto
Umeenda upande siyo, umeharib! Uislam ni elim, si ushabiki. Uislam hautaki mtu afe njaa ilhali kitimoto/nyau n.k wapo mbele'ake.
 
Mi naomba kueleweshwa; hivi jezi ni nyekundu au nembo ndo nyekundu?
Naomba kuwaelewesha Yanga kwamba nembo ya mdhamini siyo sehemu ya jezi.
Timu inapotambulisha jezi zake kinachioneshwa ni rangi za timu na nembo ya timu hivyo kinachobandikwa baada ya hapo ni matangazo tu na siyo sehemu ya jezi.
Uongo.Jezi ni sehemu yote ya nguo ikiwepo nembo na maandishi mengineyo.suala la nembo na rangi zake FIFA zimetoa option ya kukaa na vilabu na kujadili kama suala linatatulika lakin sio ubabe wa TFF.
 
Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake, Fredrick Mwakalebela umesema hautaweza kuvaa jezi yenye nembo nyekundu ambayo ni nembo ya wadhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Vodacom

Mwakalebela amefunguka kwa kusema kuwa hawataweza kuvaa jezi hizo kwani hawana utamaduni wa kuvaa rangi nyekundu ila huvaa rangi ya kijani na njano pamoja na nyeusi

Ameeleza kuwa uwepo wa hali mbaya kiuchumi katika klabu yao isiwe ndio sababu ya kuwafanya wageuke kanuni, taratibu na Katiba ya klabu yao kwani ni jambo ambalo haliwezekani

Aidha, Makamu huyo ameliomba Shirikisho la Soka Nchini (TFF) kupitia Rais wake, Wallace Karia wazungumze na Kampuni ya simu ya Vodacom ili kubadili rangi ya nembo hiyo ndipo wanaweza kuvaa
*******

This is only in Africa

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Ndugu Mwakalabela ametoa taarifa rasmi ya Yanga kukataa kitumia jezi yenye nembo nyekundu ya mdhamini.

Awali Yanga walionyesha kutokuwa tayari kuvaa jezi yenye nembo nyekundu toka kwa kampuni ya Vodacom ambaye ni mdhamini mkuu wa VPL

Mwaka amesema Yanga iko kwenye hali mbaya kifedha lakini hawako tayari kwenda kinyume na katiba.
Mimi bana niwe tofauti na wengine,
Kwanza naupenda upinzani huu wa kwetu hapa. Timu iko na hali mbaya lakini haiko radhi kuvaa nembo za watani zao, potelea mbali wakose udhamini.

Ilishatokea hii kabla na hawa hawa Vodacom wakawabunia nembo yenye rangi zao, wafanye tu na sasa. Nawaza pia ingekua ndio timu yangu Simba imelazimishwa kuvaa nembo ya mdhamini yenye kijani na njano hata mie nisingefurahi pia.

Kama ushabiki na ushindani wetu hapa Tanzania unahusisha mpaka rangi za jezi basi hili liheshimiwe tu. Mdhamini anatakiwa afahamu hili. Hivi hawadhani kua Yanga kucheza huku wamevaa jezi zenye nembo inayofanana na mtani wake inaweza kuwaathiri kisaikolojia?

Busara itumike kwenye hili kama ilivyowahi kutmika siku za nyuma.

 
Sijaona tatizo hapo Mtani ikiwa Mwakalebela anazo hoja za msingi.

Wakae chini wajue namna ya kulitatua hilo. Mbona kuna mwaka tulitumia hii Mtani na wala hakukuwa na tatizo.
20190908_065048.jpg
 
Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake, Fredrick Mwakalebela umesema hautaweza kuvaa jezi yenye nembo nyekundu ambayo ni nembo ya wadhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Vodacom

Mwakalebela amefunguka kwa kusema kuwa hawataweza kuvaa jezi hizo kwani hawana utamaduni wa kuvaa rangi nyekundu ila huvaa rangi ya kijani na njano pamoja na nyeusi

Ameeleza kuwa uwepo wa hali mbaya kiuchumi katika klabu yao isiwe ndio sababu ya kuwafanya wageuke kanuni, taratibu na Katiba ya klabu yao kwani ni jambo ambalo haliwezekani

Aidha, Makamu huyo ameliomba Shirikisho la Soka Nchini (TFF) kupitia Rais wake, Wallace Karia wazungumze na Kampuni ya simu ya Vodacom ili kubadili rangi ya nembo hiyo ndipo wanaweza kuvaa
*******

This is only in Africa

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Ndugu Mwakalabela ametoa taarifa rasmi ya Yanga kukataa kitumia jezi yenye nembo nyekundu ya mdhamini.

Awali Yanga walionyesha kutokuwa tayari kuvaa jezi yenye nembo nyekundu toka kwa kampuni ya Vodacom ambaye ni mdhamini mkuu wa VPL

Mwaka amesema Yanga iko kwenye hali mbaya kifedha lakini hawako tayari kwenda kinyume na katiba.
Wewe Mikia FC tulia.
 
Back
Top Bottom