Yanga yakimbiwa na wachezaji,Sidney na Moringa waomba kuvunja mikataba

Yanga yakimbiwa na wachezaji,Sidney na Moringa waomba kuvunja mikataba

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Habari zilizopo ni kwamba mshambuliaji wa Yanga Sidney ameandika barua ya kuomba kuvunjwa kwa mkataba wake.

Leo pia striker Molinga ameomba kujitoa Yanga kutokana na kutolipwa mishahara kwa wakati.

Huruma
 
Habari zilizopo ni kwamba mshambuliaji wa Yanga Sidney ameandika barua ya kuomba kuvunjwa kwa mkataba wake.

Leo pia striker Molinga ameomba kujitoa Yanga kutokana na kutolipwa mishahara kwa wakati.

Huruma
Nadhani ni muuendelezo wa fake news Tanzania yaani tuweze kutoa 10 mil kila mechi tushindwe vimshahara vyao hao ....rubbish
 
hawa viongoz wameshafel....wanalea vitambi tu pale...innovation zero..
Habari zilizopo ni kwamba mshambuliaji wa Yanga Sidney ameandika barua ya kuomba kuvunjwa kwa mkataba wake.

Leo pia striker Molinga ameomba kujitoa Yanga kutokana na kutolipwa mishahara kwa wakati.

Huruma
 
Nadhani ni muuendelezo wa fake news Tanzania yaani tuweze kutoa 10 mil kila mechi tushindwe vimshahara vyao hao ....rubbish
Milioni kumi ni ahadi inaweza itoke au isitoke. Na msipopata ushindi mwarabu anafurahia moyoni pesa yake imepona
 
Nadhani ni muuendelezo wa fake news Tanzania yaani tuweze kutoa 10 mil kila mechi tushindwe vimshahara vyao hao ....rubbish
Mmewekeza kutoa million kumi kila mechi? Nyie akina nani? Ile hela ni motisha kwa timu nzima kila ikishinda mechi..na sio kila mechi..Pia ile hela inatolewa na wadhamini (GSM) sio Yanga kama klabu...
 
Back
Top Bottom