Yanga yakung'utwa 2-1 huu ni mwanzo tu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


FT Yanga 1 - 2 Zanaco

Soka sio kipompipompi, soka sio makelele midomo mirefu..Soka ni mipango. Huu ni mwanzo tu. Nawaambia kabla ya TPL kuanza mtakuwa nje CAFCL.

Kwa wale wasiofahamu ni kwamba leo Yanga imecheza mechi 3. Under 20 wamechezea kichapo kitamu. Yanga Princes wametoa droo. Utopolo wenyewe wamechezea cha kulalia.

Kifupi TPL imeisha cha msingi ni kuandaa lawama tu kwa TFF.
 
Mmechi inayofuata wanakutana na wanaume wanageria...kabla ya kukutana na watu wanoujua nini wanatakiwa kufanya uwanjani yaani wazee wa Morrocco (Ngao ya hisani) kama vile namuona Manara akiumaliza vibaya mwezi wa tisa (9)
 
Yanga kwa Sasa Wana timu nzuri Sana, kufungwa mechi moja au mbili watafungwa Ila kwa ishu ya timu ya Vikombe Kwasasa ipo. Namuona Onyango na Wawa wakijuta kuja kwa Moloko na Djuma ni shida ya mjini Kwasasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…