Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,154
Ni maneno ya mkosaji tu.Wanakwambia ile ni mechi tu ya kirafiki atuwezi kuumia nafsi,swali linakuja,"kwanini mlishangilia Makambo alipofunga goli?
Kama mlipofunga mlishangilia ndo hivyohivyo mkifungwa mtaumia nafsi.
"uwezi kuukimbia ukweli abadan"
Na aliyewaliza goli la pili anaitwaje vile?View attachment 1915355
FT Yanga 1 - 2 Zanaco
Soka sio kipompipompi, soka sio makelele midomo mirefu..Soka ni mipango. Huu ni mwanzo tu. Nawaambia kabla ya TPL kuanza mtakuwa nje CAFCL.
Kwa wale wasiofahamu ni kwamba leo Yanga imecheza mechi 3. Under 20 wamechezea kichapo kitamu. Yanga Princes wametoa droo. Utopolo wenyewe wamechezea cha kulalia.
Kifupi TPL imeisha cha msingi ni kuandaa lawama tu kwa TFF.
Babra una kazi kweli kweli na hivi mpira hujuhiView attachment 1915355
FT Yanga 1 - 2 Zanaco
Soka sio kipompipompi, soka sio makelele midomo mirefu..Soka ni mipango. Huu ni mwanzo tu. Nawaambia kabla ya TPL kuanza mtakuwa nje CAFCL.
Kwa wale wasiofahamu ni kwamba leo Yanga imecheza mechi 3. Under 20 wamechezea kichapo kitamu. Yanga Princes wametoa droo. Utopolo wenyewe wamechezea cha kulalia.
Kifupi TPL imeisha cha msingi ni kuandaa lawama tu kwa TFF.
Bangala Litombo unamjua vizuri? Aliwakosakosa Zanaco kwa bonge la goli la kichwa,anakusubiri wewe Simba Tarehe 25/9 kwenye ngao ya jamii.Hatari siku hiyo yani Nyama pori italiwa na kutafunwa mpaka mifupa kwa kachumbari na pilipili.Hatutasikia tena kelele zenu msimu mzimu mzima,Jiandaeni kisaikolojia Yanga msimu huu ana kikosi kizuri kweli kweli kila idara imekamilika.Hatubishani wala kulazimishana kuelewa kwa sababu tunatofautiana uelewa Tusubiri mechi ya ufunguzi na ligi kuanza majibu mtayata.Tutarudi hapa jamvini kuulizana nani bora zaidi ya mwenzake.Stay tunedKuna mtu anaitwa Kapumbu kawapumbu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baada ya hapo tunakutana na mke wetu wa kila siku tutamtafuna tafuna mpaka mifupa na hatutawaona tena humu mitandaoni kuleta umbea wenu ndiyo mwisho .Mjiandae kisaikolojia manake kelele zenu ndiyo mwisho wake Eti Wawa,Onyango,Boko,Mkude,Tshsabalala,Mugalu,Lwanga,Gadiel ,Mzamiru,Chikwende,Kagere na hao warembo walionunuliwa n.k hahahahaha mjiandae kisaikolojia.Tunamfurusha mnigeria tunakutana na Simba ngao ya hisani patamu hapo tafuna Nyama pori na mifupa yake huku pembeni kukiwa na kachumbari na pilipilimechi inayofuata wanakutana na wanaume wanageria...kabla ya kukutana na watu wanoujua nini wanatakiwa kufanya uwanjani yaani wazee wa Morrocco (Ngao ya hisani) kama vile namuona Manara akiumaliza vibaya mwezi wa tisa (9)
sasa ulitaka walieWanakwambia ile ni mechi tu ya kirafiki atuwezi kuumia nafsi,swali linakuja,"kwanini mlishangilia Makambo alipofunga goli?
Kama mlipofunga mlishangilia ndo hivyohivyo mkifungwa mtaumia nafsi.
"uwezi kuukimbia ukweli abadan"
Bangala Litombo unamjua vizuri? Aliwakosakosa Zanaco kwa bonge la goli la kichwa,anakusubiri wewe Simba Tarehe 25/9 kwenye ngao ya jamii.Hatari siku hiyo yani Nyama pori italiwa na kutafunwa mpaka mifupa kwa kachumbari na pilipili.Hatutasikia tena kelele zenu msimu mzimu mzima,Jiandaeni kisaikolojia Yanga msimu huu ana kikosi kizuri kweli kweli kila idara imekamilika.Hatubishani wala kulazimishana kuelewa kwa sababu tunatofautiana uelewa Tusubiri mechi ya ufunguzi na ligi kuanza majibu mtayata.Tutarudi hapa jamvini kuulizana nani bora zaidi ya mwenzake.Stay tuned
hahahah. hatari sana[emoji23][emoji23][emoji23] unamaanisha hiyo pumbu yake ndiyo imefanyaje sasa, mkuu tutagombana ujue nnavoipenda Yanga[emoji119]
Leo au?Simba mnachonga sana wakati na nyie walewale tu, ebu tuacheni na siku yetu muhimu bana, tumefungwa sawa ila siyo mbaya next time tutaua mtu[emoji23]
Byutiiiiiiiiiiiii π€£π€£π€£π€£π€£π€£Byuti Byuti
ππKuna mtu anaitwa Kapumbu kawapumbu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]