Siyo kweli, kwani TFF ndiyo iliyomuondoa Manji? Kipato cha Yanga kilimtegemea mtu badala ya mipango ya Klabu. Klabu zetu zimejaa utoto wa kila aina, tabia ya kutegemea mtu zina gharama zakeMbinu pekee ya kuiondoa Yanga kwenye utamaduni wake wa kubeba NDOO kila msimu ni kwa kuihujumu kiuchumi. Natabiri kuwa haya yataendelea hadi dirisha la usajili litakapofungwa ili kuhakikisha Yanga inakimbiwa na wachezaji.
Nimeielewa sana, wanazungumzia milioi 200 walizokatwa kipindi waliporuhusu mashabiki waingie bure, kama hawakutaka wakatwe kwanini waliruhusu waingie bure?Umeisoma ukaielewa lkn mbona naona katoa ufafanuzi kuna hela wanasema wanadai sasa hizo club zingine nazo zinaidai TFF?
Kwa hivyo TFF ndo wamemtoa Manji na Malinzi? Yaani njaa yenu ndo hujuma siyo.. Kama ni mtanzamo wako ni huo basi hamna noma.Tff kuanzia Mwenyekiti, katibu, makamu na wajumbe wamejaa bi hindu fc ndiyo maana wanaihujumu Yanga
Jibu hoja nimekwambia tff wamejaa maandamano fc malinzi hausiki hapoKwa hivyo TFF ndo wamemtoa Manji na Malinzi? Yaani njaa yenu ndo hujuma siyo.. Kama ni mtanzamo wako ni huo basi hamna noma.
[emoji196] [emoji196] [emoji196] Toka kuigiza watu bure hadi kuwa ombaomba lialia.. Maisha bhana
Nyie ndo ambao mnaleta porojo! Juzi hapa Singinda united wameingiza watu bure, ko nao waje waseme wasikatwe gharama za mchezo ili iweje?Kweli yanga saiv inapita kwenye tanuru la moto kila wanapojitahidi kusimama anashushwa, ila tff yenyewe saiv ipo ki simba simba
Nimekujibu kuwa kama ni mtanzamo wako ni huo basi hamna noma..! Lakini nafasi ya juu ya Rais TFF, Wallace hajawahi kuongoza Simba SC ila Malinzi alikuwa bosi Vyura FCJibu hoja nimekwambia tff wamejaa maandamano fc malinzi hausiki hapo
Fedha za Yanga zinazotoka CAF nazo zimeenda na ManjiSiyo kweli, kwani TFF ndiyo iliyomuondoa Manji? Kipato cha Yanga kilimtegemea mtu badala ya mipango ya Klabu. Klabu zetu zimejaa utoto wa kila aina, tabia ya kutegemea mtu zina gharama zake
Zile kule zinatolewa kwa awamu,kila wanapenda mechi ya nje wanapewa kiasi halafu ndo mpaka iishe kwa style hiyoZile 600 zimeisha
Ilipewa pesa na serikali iende misri huku timu ya taifa ikinda Zambia kwa basi na posho za wachezaji watimu ya taifa zilisubiri wa akina pawasa ndiyo wawapelekee.Wana vituko, TFF iwasaidie kwani yenyewe ni Team ya Taifa? Kama hawana hela wakacheze ndondo Cup huko!!
Simba haikua na hela ilisaidiwa na nani? Kama msaada wapewe team zote zinazoshiriki ligi kuu!!
Kutesa kwa zamu hata nyinyi wakati wa malinzi mlitesa sana!!Kama karia anazunguka kutazama mechi za simba atashindwaje kuihujumu Yanga
Karia- Simba
Kamati tendaji TFF wajumbe watatu simba
Kamati Ya nidhamu simba
Kilichobaki Tff n kuweka bendera ya SIMBA tu
Haiwezekani timu imetoka kucheza mechi ya kimataifa haina hata mapumziko inaingia kwenye mechi nyingine hizi n hujuma za waziwazi