Yanga yalia na TFF yataka iwasaidie hali yao ngumu kifedha

Yanga yalia na TFF yataka iwasaidie hali yao ngumu kifedha

Kutesa kwa zamu hata nyinyi wakati wa malinzi mlitesa sana!!

Nikukumbushe tu kuwa Bashite na Sizonje nao ni wapenzi wa Simba, so utaumia sana mwaka huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nakutania mtani!!
Mwaka wenu huu.... Kula coftaa
 
Back
Top Bottom