Yanga yamalizana na Saidoo Ntibazonkiza.

Yanga yamalizana na Saidoo Ntibazonkiza.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Taarifa kutoka ndani ya klabu ya Yanga, zinasema klabu hiyo imefikia uamuzi wa kuachana na nyota wake, Saido Ntibazonkiza kufuatia makosa ya kinidhamu ya hivi karibuni na kile kimachodaiwa kuwa Saido aligomea kusaini mkataba mpya kuendelea kusalia klabuni hapo. https://t.co/4fEpD2zd8U
20220526_124635.jpg
 
283745153_391057432955852_6508062538489585324_n.jpg
Taarifa kutoka ndani ya klabu ya Yanga, zinasema klabu hiyo imefikia uamuzi wa kuachana na nyota wake, Saido Ntibazonkiza kufuatia makosa ya kinidhamu ya hivi karibuni na kile kinachodaiwa kuwa Saido aligomea kusaini mkataba mpya kuendelea kusalia klabuni hapo.

CHANZO: GPL
 
kaenda DTB kwa donge nono.. uto walitaka kumsajili kwa TSHs million 25 ndo kagoma.
 
Amegoma au amekataa kulala kwa mganga yeye na ambundo team bovu bovu wachezaji wanaanza kukiimbia.
 
Kama ni kweli yanga tutakua tumefanya mistake
Kapewa mkataba wa mwaka mmoja kagoma kusaini anataka miaka miwili kwa umri wake kumpa miaka miwili ni kamari aende tu Yacouba anarudi Yanga hii hakuna presha mechi ngapi tumecheza bila yeye? bila fey? bila mwamnyeto? Tuko vzr kila la kheri kwake
 
Taarifa rasmi ni kwamba Saido aligoma kulala kwa Mganga wa kienyeji kijiji cha Idukilo kilichopo Mkoani Shinyanga pembezoni mwa Mgodi wa Williason Mwadui
 
Back
Top Bottom