Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wewe subiri jumamosi tupige pale kwenye matumainiTaarifa rasmi ni kwamba Saido aligoma kulala kwa Mganga wa kienyeji kijiji cha Idukilo kilichopo Mkoani Shinyanga pembezoni mwa Mgodi wa Williason Mwadui
Kweli kabisa! Dr. Moo ampe mkataba mapema ili akatuongezee magoli pale mbele.Boss Dr. Mo atamchukua, huyu anatufaha sana
Sisi tuna Boss Dr. Mo na nyie mna Dr. Haji Manara!Kweli kabisa! Dr. Moo ampe mkataba mapema ili akatuongezee magoli pale mbele.
Amegoma au amekataa kulala kwa mganga yeye na ambundo team bovu bovu wachezaji wanaanza kukiimbia.
Kwanza Huyo Yacouba Ndo Wa Kusepa Kabisa Hana Mpira Kutisha Hata.Kapewa mkataba wa mwaka mmoja kagoma kusaini anataka miaka miwili kwa umri wake kumpa miaka miwili ni kamari aende tu Yacouba anarudi Yanga hii hakuna presha mechi ngapi tumecheza bila yeye? bila fey? bila mwamnyeto? Tuko vzr kila la kheri kwake
Wewe Usijifanye Mpaana Kuongelea Mambo Ya Yanga Subiri Jumamosi Tuwakande Si Mlisema Yanga Round Ya Pili Tunakata Pumzi.Taarifa rasmi ni kwamba Saido aligoma kulala kwa Mganga wa kienyeji kijiji cha Idukilo kilichopo Mkoani Shinyanga pembezoni mwa Mgodi wa Williason Mwadui