Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Hivi kuua chawa kwa rungu nayo sifa??? Mpwa Pdidy mwindaji hasifiwi kuua mzoga kwakuwa ushakufa
Ukirudi nyumbani na mzoga wa ngiripori ambao hauvuji hata damu familia na majirani watacheka kimyakimya
Kazoea kumnyanyasa Minziro sasa kakutana na Babu asiyemjua Julio wala Coastal Union yake!
Tff wachunguze.
Kilichotokea Leo kwenye mechi Kati ya Yanga Na Coastal Ni kielelezo tosha Soka letu litachukua miaka mingi Sana kufikia level za kimataifa!
Tanzania kushiriki AFCON Na WORLD Cup tutasikia kwenye radio Kama hayo ndo yanafanyika ktk mechi zetu
Kwani nani alikuambia kuna tofauti ya yanga na real? kama wabrazil waliosajiliwa madrid na yanga yupo, kama ni kocha na yanga wanae anayetoka nchi hiyohiyo, kama ni soka la akili , kasi , na ufundi mkubwa yanga lipo, kama ni mashabiki wastaarabu wasiopenda fujo na yanga wapo.Mbona Madrid kamtuliza mtu 9.
Mikia poleni sana, kwa taarifa tu 1998 kuna timu pia ilichezea 8 kutoka kwa Yanga, huku mchezaji bora kabisa kupata kutokea Tanzania Edibily Jonas Lunyamila akiziona nyavu mara 6.
Kwa kipigo cha 8-0 walichopokea Coastal Union toka kwa Yanga,Julio hatawasahau Yanga. Ni kipigo chake pekee cha paka mwizi akiwa mchezaji na hata kocha. Ni kama Mourinho alivyopigwa 5 na Barcelona mara tu alipotua Real Madrid kama Kocha.
Yanga kama Ulaya vile
Ahsante mkuu huo ndio ushabiki wa mpira bwana, penye mazuri tupongezane na panye mabaya turekebishane.
Sina maana hiyo
Kilichotokea Leo kwenye mechi Kati ya Yanga Na Coastal Ni kielelezo tosha Soka letu litachukua miaka mingi Sana kufikia level za kimataifa!
Tanzania kushiriki AFCON Na WORLD Cup tutasikia kwenye radio Kama hayo ndo yanafanyika ktk mechi zetu
Mzunguko wa kwanza pale taifa;hivi simba na coastal union matokeo yalikuwaje?au hawajacheza
Yanga imeichakaza Coastal Union au Julio? Kama lengo lilikuwa kumtaja Julio, walau ningetegemea useme 'Pluijm amchakaza Julio'. Najua concern ya washabiki wa Yanga. Wameona si rahisi kulipa vipigo wanavyopata kutoka kwa Simba kama vile bao 5-0 za juzi juzi au 6-0 za wakati ule, na sana sana wanaendelea kupigwa 1-0, 2-0, 3-1 na matokeo kama hayo. Sasa njia pekee ni kutumia kipigo cha Coastal Union cha 8-0 kama njia ya kujifariji kuwa wameifunga Simba, ndio maana unaona wanamtajataja Julio eti kwa kuwa ana uhusiano na Simba!!! Yanga bwana, Etoile hiyo inakuja!Yanga yamchakaza Jamhuri Kiwelu aka Julio
hivi simba na coastal union matokeo yalikuwaje?au hawajacheza
Match 1: 21/09/2014 Simba 2-2 Coastal Union.
Wafungaji Simba, Shaaban Kisiga 4' na Amis Tambwe 36'
Wafungaji Coastal Union, Yayo Lutimba 69' na Rama Salim 84'.
Match 2: 07/02/2015 Coastal Union 0-0 Simba.
Need I say more?