mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hawa jamaa hawajarudi kifungon!!
Duuuuh! pole yake sana mkuu yahoo manake anashangilia ushindi babu kubwa wa goli 8-0 huku akiwa kifungoni!!!!
Tumuombee huyu jamaa arudi kundini.....
Basi afufuliwe haraka kama ilivyokawa kwa bwana yesu kristo....Huo ushindi uko dedicated kwa Mkuu yahoo, shabiki shupavu wa Yanga aliyekubali afadhali apigwe ban kuliko kuliacha li mkia limoja lenye maneno machafu liendelee kuitukana Yanga na mashabiki wake. R.I.P. Mkuu yahoo huko ulipo unakumbukwa na mkolaj, Bantu lady , Makoye Matale, mito pamoja na wakuu wengine wote walioipenda Yanga tangu kale.
Ashes to ashes and dust to dust, Mkuu yahoo upumzike kwa amani, utafufuka tu katika muda ulioamuliwa.
Basi afufuliwe haraka kama ilivyokawa kwa bwana yesu kristo....
Yahoo tunakupenda sana wanayanga wenzako.....
Yanga ifungeni Simba basi walau kagoli kamoja watu waache kuzimia! Salamu ziende kwa akina mkolaj, Bantu lady , Makoye Matale, mito na wengineo wanaojisikia kuzimia zimia
Tena hawa tutawavunjia record kama ilivyo kwa coastal union, tutawapiga 9-0Mkuu umeibukia hapa unataka uondoke na mtu kwa kupigwa ban, hapa hupati mtu!
Tumeanza na Julio, mdomo tumeuziba kwa pamba utafikiri amekufa, dawa yenu iko jikoni inatokota.
Nina wasiwasi hata yule mwingine graffani nae atakuwa ana red card, mwaka mbaya sana huu kwa mikia, mpaka ligi inaisha mikia watakuwa wamekula ban za kutosha.Kwa kweli tumepata pengo kubwa kwa kumkosa yahoo, Inaonekana Ngarna alishawachosha hata mikia wenzake maana sijaona hata mkia mmoja ukiomboleza kwa ajili yake. Huko uliko Ngarna uendelee kutendewa haki kulingana na maneno yako maana imeandikwa 'kwa maneno yako utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa', Amina
Yanga imeichakaza Coastal Union au Julio? Kama lengo lilikuwa kumtaja Julio, walau ningetegemea useme 'Pluijm amchakaza Julio'. Najua concern ya washabiki wa Yanga. Wameona si rahisi kulipa vipigo wanavyopata kutoka kwa Simba kama vile bao 5-0 za juzi juzi au 6-0 za wakati ule, na sana sana wanaendelea kupigwa 1-0, 2-0, 3-1 na matokeo kama hayo. Sasa njia pekee ni kutumia kipigo cha Coastal Union cha 8-0 kama njia ya kujifariji kuwa wameifunga Simba, ndio maana unaona wanamtajataja Julio eti kwa kuwa ana uhusiano na Simba!!! Yanga bwana, Etoile hiyo inakuja!
Kwa kweli tumepata pengo kubwa kwa kumkosa yahoo, Inaonekana Ngarna alishawachosha hata mikia wenzake maana sijaona hata mkia mmoja ukiomboleza kwa ajili yake. Huko uliko Ngarna uendelee kutendewa haki kulingana na maneno yako maana imeandikwa 'kwa maneno yako utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa', Amina
Tena hawa tutawavunjia record kama ilivyo kwa coastal union, tutawapiga 9-0
Kwani julio ni kocha basi?au anasafiriaga nyota za watu.Aliwahi kusafiria nyota ya marehemu mziray,kibadeni na mkwasa akajiona kocha.Huyu ni msimamizi wa mazoezi sio kocha.
Yanga ifungeni Simba basi walau kagoli kamoja watu waache kuzimia! Salamu ziende kwa akina mkolaj, Bantu lady , Makoye Matale, mito na wengineo wanaojisikia kuzimia zimia
Washabiki wa ndala wanachekesha sana, mnamfunga coastal union na kumbukumbu zenu zoooote zinapotea mnaanza ota, hivi tano mmezisahau? na juzi mmefungwa na yosso wa simba mmesahau?
muda ambao mngeweza mpiga simba goli nyingi ni pale mlipofunga nne kisha zikarudi zoote, yanga ilikuwa juu haijawahi tokea na simba ilikuwa chini almost haijawahi tokea, mlishindwa! hiyo dawa unayowaza ni simba wanawaandalia nyie kama unabisha kamuulize yule promota wa ndondi Ustaadh, shabiki wa kutupwa wa yanga ila kasema KAMWE hawezi bet ETI yanga kuifunga simba, ni kupoteza hela yake!
Hongereni kwa ushindi wa jana! Kama ni bifu na timu yoyote ya red and white, msibilini ETOILE SPORT DU SALEH!
Tutaheshimiana tu tena kwa lazima!
Acha kelele.. Nyie ni WAMCHANGANI FC tu...........!
Nina hakika hujui unatumia vigezo gani kusema kwamba Julio si kocha. unaweza kutuambia vigezo ulivyotumia???
Kikosi chenu ni ghali kweeeeeli ila unakumbuka lile goli la mita 40??
AIBU kwenu!