Yanga yamchakaza Jamhuri Kiwelu aka Julio

Yanga yamchakaza Jamhuri Kiwelu aka Julio

Nina wasiwasi hata yule mwingine graffani nae atakuwa ana red card, mwaka mbaya sana huu kwa mikia, mpaka ligi inaisha mikia watakuwa wamekula ban za kutosha.

Ni mbaya sana unapokuwa na stress alafu unajikuta upo katika ya mjadala wa nguvu ukiwa Umebanwa Mbavu tatu za chini....!
Unajikuta unaropoka matapishi...!
Simba itaua vijana wetu...!
 
Kwa kipigo cha 8-0 walichopokea Coastal Union toka kwa Yanga,Julio hatawasahau Yanga. Ni kipigo chake pekee cha paka mwizi akiwa mchezaji na hata kocha. Ni kama Mourinho alivyopigwa 5 na Barcelona mara tu alipotua Real Madrid kama Kocha.

Yanga kama Ulaya vile
Julio kasema angekutana na simba angepigwa 10-0,gazeti moja la nchini limeripoti hii habari,mimi namshangaa huyu jamaa yaani anajionyesha mnyonge au mpenzi wa simba wazi wazi jee mbona wakati mwadui ilipocheza na simba matokeo yalikua 3-1 au nakosea.Mimi namuabia huyu Julio Yanga ni timu bora kweye 16 Africa ,angesema afadhali zilikua goli 8 siku ya tarehe 8 angecheza siku tarehe 18 zingekua goli 18 .......Yanga oyeeeee tuko kweye 16 bora za afrika na tunaenda Tunisia kumpiga mtu goli moja tuu.

 
Kikosi chenu ni ghali kweeeeeli ila unakumbuka lile goli la mita 40??
AIBU kwenu!

Basi nenda TFF kawaambie wakupeni Medali kwa ajili ya lile goli....!
Kibongobongo ubora wa goli hauna thamani kabisa....!
Watu tunataka kuona timu inaongoza Ligi, na si vinginevyo..?

Tatizo lako ni kwamba umeathirika na timu ya MCHANGANI hata kufikia hatua ya kushabikia Magoli baada ya Ubingwa..!

👏👏👏👏
 
Etoile du sahel... Kampiga Mtu bee kwa nunge... Mwajuma ndala ndefu jiandae

Jibu hili swali.!

Jiulize kwamba yeye amempiga mtu anayeshika nafasi ya ngapi...?
Na amemfunga magoli mangapi..?

Na pia Jiulize Yanga amemfunga mtu anayeshika nafasi ya ngapi..!?
Na kwa magoli mangapi...?
 
Ni aibu kwa Simba kusajili mapro 5 kutoka nchi moja ya Uganda, matokeo yake timu inasota nafasi ya 3 ikiwa haina hata matumaini ya kupata nafasi ya 2 kwa mwaka wa 3 mfululizo. Hilo goli la mbali ni ajali kama vile mtu kupiga mpira na kugonga mwamba.

Mkuu sio kwa mwaka wa tatu mfululizo...!
Bali ni misimu 3 ambayo ina miaka sita (6).
 
Mkuu Makoye Matale unanisononesha kwa hili, kwa post yako hii inaonekana kama una mwanao na ni jambazi ikitokea amekamatwa unaweza kutoa hata rushwa ili aachiwe na aje aanze kusumbua watu. Ukifuatilia ule mtifuano Yahoo ndiye alianza kumtukana Ngarna na alichokifanya Ngarna ni kuretaliate kwa Yahoo. Kwa hiyo kama unamwombea Yahoo afunguliwe basi inabidi uwaombee wote wafunguliwe ili kutenda haki.

Damu ni nzito kuliko maji.

Ikiwezekana wote wafunguliwe, ikiwa ni mmoja tu ndiye anapaswa afunguliwe, ni ombi langu kuwa Mkuu yahoo afunguliwe na huyo Ngarna aendelee kuonja utamu wa 'pulgatory' ya JF.
 
Last edited by a moderator:
Damu ni nzito kuliko maji.

Ikiwezekana wote wafunguliwe, ikiwa ni mmoja tu ndiye anapaswa afunguliwe, ni ombi langu kuwa Mkuu yahoo afunguliwe na huyo Ngarna aendelee kuonja utamu wa 'pulgatory' ya JF.

Wamefungiwa kwa muda gani!??
 
Last edited by a moderator:
Wachunguzepesa za okwi zikowapikwanza....
 
Kwa kipigo cha 8-0 walichopokea Coastal Union toka kwa Yanga,Julio hatawasahau Yanga. Ni kipigo chake pekee cha paka mwizi akiwa mchezaji na hata kocha. Ni kama Mourinho alivyopigwa 5 na Barcelona mara tu alipotua Real Madrid kama Kocha.

Yanga kama Ulaya vile
Sure Yanga noma
 

Attachments

  • 1428609157163.jpg
    1428609157163.jpg
    21.1 KB · Views: 63
Wamefungiwa kwa muda gani!??
Mkuu yahoo amepewa ban ya siku 3, na mkuu Ngarna amepewa ban mpaka timu yoyote ya ligi kuu itakapovunja record ya yanga ya kumdungunyua mtu goli 8-0.
Mkuu Ngarna iombee yanga iichachafye mbeya city goli 10-0 ili urudi tena jamvin lasivyo utasota sana.
 
Tumeanza na Julio, mdomo tumeuziba kwa pamba utafikiri amekufa, dawa yenu iko jikoni inatokota.
Hiyo dawa tangu ianze kutajwa kwamba ipo jikoni miaka minne iliyopita, nadhani sasa itaungulia nakukaukia jikoni!
 
Hiyo dawa tangu ianze kutajwa kwamba ipo jikoni miaka minne iliyopita, nadhani sasa itaungulia nakukaukia jikoni!

Dawa yenu ni kuchukua Ubingwa kila msimu huku mkitutazama tu.....!

Mwaka wa sita mpaka sasa mkiwa na UKAVU wa Makombe ya Ligi kuu.
 
Back
Top Bottom