brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Habari ya uhakika ni kuwa katika Hali isiyokuwa ya kawaida klabu ya Yanga imemsajili mhenga kiungo mchezeshaji wa African Lyon Haruna Moshi Boban kwa mkataba wa miezi 6 katika dirisha dogo.
Ikumbukwe klabu ya Yanga imekumbwa na ukata usiopimika kwa Sasa ikijikongoja kupata wachezaji wa mafungu.
Ikumbukwe klabu ya Yanga imekumbwa na ukata usiopimika kwa Sasa ikijikongoja kupata wachezaji wa mafungu.