Nasikia pia usajili unaofuata jangwani ni Nurdin Bakari. Mwaka huu simba tutakoma.Habari ya uhakika ni kuwa katika Hali isiyokuwa ya kawaida klabu ya Yanga imemsajili mhenga kiungo mchezeshaji wa African Lyon Haruna Moshi Boban kwa mkataba wa miezi 6 katika dirisha dogo.
Ikumbukwe klabu ya Yanga imekumbwa na ukata usiopimika kwa Sasa ikijikongoja kupata wachezaji wa mafungu.
View attachment 967234
wewe shia yako nini, sisi tunashinda mechi na hao hao wa mafungu.Bado juma nyoso, amri kiemba na Ally mayai tembele
πππ hamna mbaya.[emoji3][emoji3][emoji3]Yanga imekuwa klabu ya wazee wanaenda kula pensions
Nakazia. Ashike ya kwake hayo mengine atuwachie wenyewe.wewe shia yako nini, sisi tunashinda mechi na hao hao wa mafungu.